Naomba kuuliza hivi ni kweli wanawake wanatofautiana utamu? kivipi? Msinishambulie nijibuni tu.
umegeneralize kuwa wote ni watamu??jibu swali
Umejuaje? make sure unapata feed back kwa zaidi ya mtu mmoja siyo kwa mme/boy friend wako tu anaweza akawa anakupa feedback nzuri ili kukupa raha tu kisaikolojia, hata kama ni mkweli inweza isiwe kwa walaji wote kwasababu unaweza kuambiwa na mlaji fulani kwamba wewe ni mtamu kumbe kwa mlaji mwingine huna radha.
Hilo nalo neno; maana mi kwa mume wangu huwa napata A plus plus. Utasikia baby we mtamu...Could he be lying to me?
Kazi kweli kweli... Mnataka tuanze kuto kujiamini sasa na hizi nyuzi.
hahahaah Katavi...aka,mi napita tu
utamu wa mwanamke ye mwenyewe ajijue kuwa ni mtamu
utamu wa mwanamke ajue kujiunga zaidi ya utamu aliojaliwa na muumba
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kuwa mwanamke aliyenaye ni mtamu
utamu wa mwanamke upate mwanaume anayejua kula vitamu!
Utamu unatofautiana sana .. Inategemea na kiungo kinachotumika .. kama chumvi, asali, shabu, misk, vitunguu swaumu, gili gilani ama ni iliki.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ni kweli kabisa kuna k bwawa k kavu,k tight na k beseni,k sambusa yani iliyojaa nyamanyama na k kaukau zote ladha tofauti kazi ni kwako
Naomba kuuliza hivi ni kweli wanawake wanatofautiana utamu? kivipi? Msinishambulie nijibuni tu.
hah hahaha haha aaaaaaaaa... Babu Asprin umenichekeshajeeeeeeeeee . yani kwamba hivyo ni viungo mbali mbali hivyo hata ladha lazima ziwe tofauti ati!