Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Naomba wote wanaochukua masomo ya History, kiswahili, na Language waweze kujitokeza ili tuweze kubadilishana ideas kuhusu masomo hayo, tuone nikwanamna gani tunaweza kufaulu vizuri masomo hayo nakuleta sifa nzuri kwa nchi yetu kitaaluma.