Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

I am impressed! thanks a lot for sharing.
Mkuu salama,

Mbuzi mambo safi sana, namshukuru LAT kwa msaada wa Badizzo. Nina vibeberu kibao vya kisasa. Nishaanza kuuza mbegu. Mbuzi wa maziwa wapo Mbezi Makabe na wanazaa pacha bila taabu, juzi nimenunua wawili, ni 150,000/ kila mmoja. Bado sita kwa yule mzee. Kwa sasa nafanya upanuzi na uboreshaji wa fish ponds,kwa upande wa tilapia walifika market size ndani ya miezi sita,japo niliwaweka ktk mazingira magumu sana.

Uchimbaji unaendelea, na African catfish nitawaweka pond ya peke yao ili na wao nione kama watafikia market size ndani ya muda wa kitalaam.Hivi ninavyo andika niko Iringa mjini, nilifuata vifaa vya shamba, msimu unapiga honi, ninataka kuhakikisha tunapiga bao. Nikirudi dar nitakujulisha, ila ni kipindi cha november ndio tutafanya safari hiyo.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
I am impressed! thanks a lot for sharing.

mkuu malila, zile mbegu za miti ya malisho ya mbuzi ninazo hapa dar, ukifika nitakupatia au nitampa manundu akupatie, miti hii midogo hupandwa katika mipaka ya shamba na kutengeneza fence nzuri sana (perimeter fence) na unapoi prun ndiyo inakuwa malisho (fodders)
 
Mkuu, asante nitakutafuta.

mkuu, zile mbegu za miti ya malisho ya mbuzi ninazo hapa dar, ukifika nitakupatia au nitampa manundu akupatie, miti hii midogo hupandwa katika mipaka ya shamba na kutengeneza fence nzuri sana (perimeter fence) na unapoi prun ndiyo inakuwa malisho (fodders)
 
Kama kuna wanaopenda kufuga wanyama hasa Mbuzi ( wa maziwa,nyama),njooni tuunganishe nguvu tufanye mambo.Inawezekana kabisa tukafuga kwa mafanikio sana. Kila kitu kipo ndani ya uwezo wetu.

I believe together we can go.

Are you compatible?
 
mkuu malila, zile mbegu za miti ya malisho ya mbuzi ninazo hapa dar, ukifika nitakupatia au nitampa manundu akupatie, miti hii midogo hupandwa katika mipaka ya shamba na kutengeneza fence nzuri sana (perimeter fence) na unapoi prun ndiyo inakuwa malisho (fodders)

Mkuu safi sana,

Mpe Manundu tafadhali kama nitashindwa kupata dakika kidogo za kukufuata ulipo. Nimeingia leo toka shamba Iringa. Nataka nijitahidi kesho hata kama ni usiku nikamwone Cdanzi ili nijazie kabisa kilichobaki. Mkuu niko hoi, nimekaa chakani week moja na nusu, huko hta redio hazisikiki, duuh kazi tunayo.
 
Kwa wale wanaotaka kununua ng'ombe na kusafirishiwa mpaka mashambani kwao nawashauri mkawaone Kenya Commercial Bank. Siku moja tulikuwa na mazungumzo nao walisema kwamba wanaweza kukununulia bidhaa unayoitaka mahali popote na kuileta sehemu unapotaka. Kama ni kutoka nje ya nchi watafanya clearance wenyewe na kukuletea. Naomba mkawaone wataweza kutatua matatizo mengi tu.
 
Ndugu wana jamii mimi ni mfugaji wa mbuzi maeneo ya Mlandizi nini mbuzi 100, sasa nilikuwa nahitaji kuwanenepesha nauliza je niwape virutubisho gani ili wanene hata nikiwauza nipate faida, kwa mfano niwape pumba kiasi gani, madawa yanayohitajika n.k,kwa yeyote mwenye kujua anijuze pia soko la mbuzi likoje huko DSM.

Nawasilisha
 
Mkuu hapo umeisha feli yaani umefuga mbuzi hadi 100 bila kujua utawalisha nini na utawauza wapi?!!!??? Huko siku za nyuma palikuwa na kipindi RTD kinaitwa pwagu na pwaguzi kilikuwa mali sana siku hizo.
 
Mkuu hapo umeisha feli yaani umefuga mbuzi hadi 100 bila kujua utawalisha nini na utawauza wapi? Huko siku za nyuma palikuwa na kipindi RTD kinaitwa pwagu na pwaguzi kilikuwa mali sana siku hizo.

Kweli mimi nilichouliza nitumie vyakula gani ili wanene,sasa unaleta u.k
 
Mkianza kutukanana thread itakosa wachangiaji, wenye taaluma zao hawaingii thread za matusi !!!!!!
Mkuu,hawatukanani,ila Aliyeanzisha hii thread-MasaiHalisi ndio amemtukana ,jamaa aliyetoa observation yake kuwa amewezaje kufuga mbuzi mia bila kutambua jinsi ya kuwanenepesha.

Jamaa hajamtukana KABISA ,amesema amemkumbusha enzi za PWAGU NA PWAGUZI. hiki kilikuwa kipindi kinachofunza sana jamii yetu na kilikuwa kinarushwa na RTD mpaka mwishoni mwa 1980's.ilikuwa nikitoka skuli lazima nikisikilize hiki kipindi.Story ninayoikumbuka sana ni ile siku PWAGU NA PWAGUZI walipata Tenda ya Kupaka Rangi,walipaka kila kitu hadi watoto wa mwenye nyumba :)) unless kama mtoa mada ni Dogo sana na hakijui hiki kipindi.kwani kilikuwa ni kipindi popular sana pamaoja na mazungumzo baada ya habari

Mimi nina mshauri alete mada yake ktk thread ile ya mradi wa kunenepesha mbuzi, badala ya kuanzisha thread nyingine.
 
Mkuu,hawatukanani,ila Aliyeanzisha hii thread-MasaiHalisi ndio amemtukana ,jamaa aliyetoa observation yake kuwa amewezaje kufuga mbuzi mia bila kutambua jinsi ya kuwanenepesha.

Jamaa hajamtukana KABISA ,amesema amemkumbusha enzi za PWAGU NA PWAGUZI. hiki kilikuwa kipindi kinachofunza sana jamii yetu na kilikuwa kinarushwa na RTD mpaka mwishoni mwa 1980's.ilikuwa nikitoka skuli lazima nikisikilize hiki kipindi.Story ninayoikumbuka sana ni ile siku PWAGU NA PWAGUZI walipata Tenda ya Kupaka Rangi,walipaka kila kitu hadi watoto wa mwenye nyumba :)) unless kama mtoa mada ni Dogo sana na hakijui hiki kipindi.kwani kilikuwa ni kipindi popular sana pamaoja na mazungumzo baada ya habari

Mimi nina mshauri alete mada yake ktk thread ile ya mradi wa kunenepesha mbuzi.badala ya kuanzisha thread nyingine.

Hapo pekundu nilipokuwekea ndio panapobeba Pwagu na Pwaguzi, kwa hiyo na wewe unaongezea kiaina. Turudi kwenye uzi.
 
msaada wa wataalamu unahitajika hapa ili tujue ni vyakula gani na ni madawa gani yanahitajika ktk hili. Nami nitawashukuru sana.
 
Mmasai halisi hongera.

Kwanza wana urefu gani-kama ni wale wakawaida basi fanya hivi;

Ondoa madume yote ya kwanza, ingiza dume la mbuzi wa maziwa (norwegian au sanen hapa unawarefusha). kwa vizazi viwili.
halafu badilisha tena ingiza dume la boer goat(hapa ni nyama).

Lakini pia kama una haraka ingiza boer goat mapema tu watoto wake watakuwa rahisi kuwanenepesha.
mbuzi wa kwetu hasi madume kaanayo kama six months peleka sokoni.mitaweka majibu zaidi j'pili naenda tafuta dume la maziwa kesho.
 
Mmasai halisi hongera,

Kwanza wana urefu gani-kama ni wale wakawaida basi fanya hivi;

ondoa madume yote ya kwanza, ingiza dume la mbuzi wa maziwa (norwegian au sanen hapa unawarefusha). kwa vizazi viwili.
halafu badilisha tena ingiza dume la boer goat(hapa ni nyama).

lakini pia kama una haraka ingiza boer goat mapema tu watoto wake watakuwa rahisi kuwanenepesha.

mbuzi wa kwetu hasi madume kaanayo kama six months peleka sokoni.mitaweka majibu zaidi j'pili naenda tafuta dume la maziwa kesho.

Ukikosa kupata dume la maziwa basi nishitue nikuelekeze lilipo kwa sasa.
 
Aliyemfanaisha na hoja ya pwaguzi amesema kweli; hili ni swali la msingi alilotakiwa kulijibu kabla hajaanza ufugaji wenyewe. Namini hakukurupuka
 
Aliyemfanaisha na hoja ya pwaguzi amesema kweli; hili ni swali la msingi alilotakiwa kulijibu kabla hajaanza ufugaji wenyewe..........naamini hakukurupuka

Ulisema nikija Dom utanipeleka mnadani vile? salimia wote huko. Dar lini mkuu?
 
Back
Top Bottom