Mi hata mwezi sijafikisha ila nimepokelewa vizuri na sijaoneshewa dharau. sahv nahisi burudani. Love you all.... Mwaaah!
Mi hata mwezi sijafikisha ila nimepokelewa vizuri na sijaoneshewa dharau. sahv nahisi burudani. Love you all.... Mwaaah!
Wadau huyu mvumilieni kidogo niliwaambia wahudumu wampe 3! Mie nikatoka , nimerudi naambiwa keshabugia 6!
Na sasa ana ya7 mezani , namsubiria tu amalize hii nimrudishe nilipomtoa maana naona taa zake kubwa zishazimika anaonea parking lights tu.
Pole sana!
Bora wangekuchinjia Mtoni , your Corpse will b easy to found it !
Btw una sugest mualiko wa "cha mchana" au "cha usiku" ?
kwa niaba ya wakongwe napenda kuwaasa wachangiaji wageni kuwa watulivu na wasiwe wakurupukaji...
mkumbuke tu hata Jando lilikuwa Govi.
Naomba kuwakilisha
hebu nendeni Facebook...
Ntoleeni ushuzi wa kachumbari hapa
Hahaha.... Chomba vipi usajili San siro ... Kaingia nani katoka nani
Flavio roma, zambrota, nesta, gatusso, van bommel, seedorf, na pippo inzaghi wameondoka.
Walioingia ni sungusungu wa kiyahudi ambao wakija kuungana na sungusungu wa sasa basi tutaua mtu nxt season
vipi mnampango wa kwenda unbeaten kama the mighty JUVE!!! Bibi kizee yetu ya Turin! .... NedVed amewaambia vijana histroria lazima ijirudie
mmmhhhhhh! morning chit chatters, morning wazawa! lol!