Kuna pikipiki nimeina maeneo ya usa river. Ina namba T.....CCM,daaah cjajua mmiliki wa hyo pikipiki ni mfuasi wa chama gan coz pande hz magamba cdhan kama wapo.ila me kwa upande wangu naahirisha la sivyo nabadil gar or hyo pikipiki.
Hivi cdm na cuf bado?