Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #81
ni kweli lakini kipindi cha Summer kinaanzia mwezi wa Sita mpaka Mwezi wa Tisa ndio summer inakwisha miezi inayofuata huwa inaanza baridi kidogo kidogo mpaka inakuwa tena baridi kali unaweza usitoke nje ya nyumba yako. Na kila wakati unakuwa unasikia njaa ya kula kwa sababu ya Baridi. Karibu mkuu unakaribishwa sana hukuKwa uelewa wangu mdogo nilionao ni kwamba huko ulaya kuna kipindi cha snow na kile kipindi cha summer na sio kweli kua siku zote kuna snow