Babu Lao
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,043
- 179
Wakuu nimekaa na kutafakari hii tabia mpya ya hawa kinadada zetu.. Unamkuta msichana mzuri ana kazi nzuri na elimu ya kutosha, ukimtaka anakwambia eti alishaumizwa sana na anaogopa kuumizwa tena hivyo hataki kuwa na kijana anataka watu wazima au vijana hawajui kulea.... Na kweli anaanzisha uhusiano wa kimapenzi na mume wa mtu, sometimes mpaka kufikia kuzaa. Hii iko sana maofisini!!!
Sasa swali ni je kati ya huyu kijana na huyo mzee nani atakuumiza.... mzee una uhakika kila siku lazima arudi kwa mkewe na kuchakachua na huna uhuru nae... Au kuna hidden agenda na hawa wazee????
Sasa swali ni je kati ya huyu kijana na huyo mzee nani atakuumiza.... mzee una uhakika kila siku lazima arudi kwa mkewe na kuchakachua na huna uhuru nae... Au kuna hidden agenda na hawa wazee????