Kwa wakazi wa Zanzibar ofa hii hapa

Isaack Newton

JF-Expert Member
Apr 15, 2013
535
224
Habari wakuu,! Nauza kitanda cha mbao cha sita kwa sita, kipo vizuri, nimehamishwa kikazi, ni kizito mno nimeona nikiuze tu. Kwa atakae hitaji anicheki, bei laki 4 tu mpk laki 3 na 80.
Nipo zanzibar mtoni jeshini. Ni kitanda tu bila godoro. Pia nauza honda aina ya klick iko vzr, jino moja tu unaamsha. Bei million 2 na laki 6 tu


0679478758.
 

Attachments

  • Screenshot_20231127-072649_Gallery.jpg
    Screenshot_20231127-072649_Gallery.jpg
    63.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20231127-072607_Gallery.jpg
    Screenshot_20231127-072607_Gallery.jpg
    43.8 KB · Views: 7
Habari wakuu! Nauza kitanda cha mbao cha sita kwa sita, kipo vizuri, nimehamishwa kikazi, ni kizito mno nimeona nikiuze tu. Kwa atakae hitaji anicheki, bei laki 4 tu mpk laki 3 na 80.

Nipo Zanzibar mtoni Jeshini. Ni kitanda tu bila godoro. Pia nauza honda aina ya klick iko vizuri, jino moja tu unaamsha. Bei million 2 na laki 6 tu.

View attachment 2826337

0679478758.

Screenshot_20231127-072538_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom