- Thread starter
- #101
we utashauri kicheche utaweza?
kawaulize dada au shangazi zako kama kabla ya kuolewa walikuwa na mmoja and the only mmoja.wakaka mnajiona wajanja mnazungukwa ile ni aje, cha muhimu mdada usikubali kumegwa na wawili kipindi kimoja.ukiwa na JAMES usimegwe na kimaro ila muweke standby