Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Maamaa Arsenal (Michelle) hapo unamaanisha nini? I mean hapo kwenye hivyo vikatuni.
Umeniacha njia panda dada angu!
yaani ni kama umeshaamua namna unayotaka kuendesha na kuishi maisha yako....sasa sielewi umeuliza ili iweje? manake umesema...ukweli ni kuwa...... then ni bora........!!! why did you ask if your mind is made up already?:smash: