Wakati anaendelea kukata hiyo stori akija mtu kama vile anataka kusupoti au kubisha utasikia" nyamasa ki -ja -naa, kwansa wewe ni mtoto ndoko sanaa, usinifunjie heshima hapa, unataka kujifanya unamjua huyu kuliko mimi? kwa taarifa, mama yako anaolewa mimi naona kwa macho yangu, alaah! watu wengine banaa!" Tuendelea kijana wangu, hifi nilishia wapi filee!Hahaha! Umekula senksi meku! Na kuna ile ya madingi kupiga mizinga kiaina: Kijana wangu wakati ukiwa mdogo ulikuwa una akili sana, nakumbuka ulifokuwa na miaka miwili ulikuwa unanipenda sana kweli. Hukutaka mtu mwingine akubebe asee! Unakumbuka wakati ukiwa na miaka mitatu nilifokubeba ukanikojole.a? mama yako alitaka kukushapa nikamkatasa. We kijana wangu kabisa, tumetoka mbali. Ndio maana kila siku nilikuwa nakuombea kwa Mungu ufanikiwe katika maisha!............ Hapo mzee si chini ya buku mbili lazima ikutoke! LOL!
Wakati anaendelea kukata hiyo stori akija mtu kama vile anataka kusupoti au kubisha utasikia" nyamasa ki -ja -naa, kwansa wewe ni mtoto ndoko sanaa, usinifunjie heshima hapa, unataka kujifanya unamjua huyu kuliko mimi? kwa taarifa, mama yako anaolewa mimi naona kwa macho yangu, alaah! watu wengine banaa!" Tuendelea kijana wangu, hifi nilishia wapi filee!
H aha ha ha ha ha, thats xspin umenichekesha sana, vipi kuhusu WAMA NA WANDE? unafahamu chochote hapo????
Hiyo imenitoka mkuu labda Chris atakuwa na lakusema!Mmeeku angalizo kwenye hii red tafadhali.
Hiyo imenitoka mkuu labda Chris atakuwa na lakusema!
Jamani mmenikumbusha mbali sana, mie ndio natoka Arusha kwenda Moshi, pale ninunue kitanda na Godoro tayari kwa safari ya kwenda Kirua Vunjo kwa kutumia usafiri wa pick up,
xmass nachinja mbuzi kama 2 na vyuku wakutosha.
NASIKIA JAM IMEANZIA CHALINZE
wanahusika sana kwenye maeneo ya kupata moja moto moja bariiidiihawavnao wapo ndani ya utamaduni wenu?