Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Ni jambo la kushangaza sana:kwani pamoja na ukimwa mwingi tuuonao ktk matukio ya mauaji na mateso yatokeayo kwa raia hasa katika mazingira ya kisiasa.Kwa vile taasisi hewa za tafiti nchini hazina nia wala fahamu kuwa kuna tabaka la watu ambao hisia zao zinahitajika kujulikana. Ili kupata taswira ya nchi fikra za dunia.Kwa pita pita yangu na makutano yangu na watu wa mataifa mengine,kuna vitu nimeona na kuvipima.
1.wakisikia habari ama kuona kuona gazeti lina heading CHADEMA/CCM huwa wanatazama kwa makini sana.
2.Na kila habari waisomayo huwa wanaitazama CDM katika mtazamo positive sana.
3.Wanajitahidi sana kuficha hisia zao sana,ila wanafanya sana interview na watu wetu.
4.Wengi wanaichuka sana CCM na police wetu.
5. Wengi hawajui sana siasa za nchi(zaidi ya kujua kuwa ni mabaki ya socialism) wala imani za vyama ila wanajua kuwa CDM ni serious part na ni chaguo number one kwa vijana naraia wenye fikra makini.
Mbali na haya hapo juu pia nimekuja gundua kuwa hawa jamaa wanafanya tafiti binafsi na za kitaasisi kuhusu maendeleo ya kisiasa, haki za binadamu na jitihada za kuondoa umasikini kwa umakimi sana.Maswali waulizayo yanalenga sana kujua hisia za mzawa, na maelezo kamili ya siasa za nchi,halafu wanamalizia hapo.
Nimekuja ona kuwa viongozi wa Tanzania chini ya CCM si waelewa sana.Kama jinsi Dr. Slaa alivyotuma SMS na bado uelwa haukuwa mzuri kwa idara zote za usalama ktk nchi,ndivyo pia kauli za mataifa serikali haizielewi. Mfano..mgeni anapojaribu kusema "I think president Kikwete is doing a good Job".Si vigumu sana kuelewa ni wapi wana CCM walipata wazo kuwa "Rais anakubalika, rais ni mchapa kazi ila ni watendaji" na kutembea vifua mbele kuisema.So much programmable.
Nimeona hisia zao kuhusu CDM pale wanapochati na mzawa kuhusu siasa na utamaduni hujaribu pima hisia za watu na wanapojiridhisha kuwa CDM ni chagu basi nao huelezea waliyoyasikia ktk magazeti ya hapa, na kutoka kwa wenzao waliopo nchini kwa muda mrefu, na hata mashirika ya kwao.Pia wanaongea umbea wakiwa katika faragha na hata hadharani.Ila hadharani huwa wanaongea kwa mafumbo sana bila kuonyesha hisia ila macho na msisitizo wa maneno unaficha hisia zao.Wana peana update sana ktk mailingi lists zao kuhusu matukio ya ujambazi,vifo na mahusiano yao na siasa,dini na tamaduni.Na wengine wakisikia wana CCM wakipiga blah blah za maendeleo na umakini wa president basi unaona majibu yao yanavyojaribu kuonyesha kuwa serikali si rais na hawataji alichofanya ila wanataja jitihada/majaribio.Jitihada/majaribio zina dhana isiyosema kiasi cha utendani ,kama ilivyo kutangaza nia bila kufanya jambo au kufanya kwa kiasi kidogo sana.Wengi ya niliokuwa nao baada ya kuwabana sana,walinieleza yale niliyokuwa nayo katika fikra.Yaani kwa vile Africa kuna viongozi wabovu,katili,corrupt na wenye ulafi wa hali juu.Kwao ni jambo jema sana kutafuta nchi na viongozi wenye afadhali na kuwapa moyo kadiri iwezekanvyo.Matumaini yakiwa pengine watageuka na kuwa viongozi wazuri na mfano kwa wengine katika siku za usoni.Balancing ya hii dhana bado haijaeleweka sana hata kwa rais mwenyewe ndio maana yupo busy kukimbilia nje akiwa na bakuli lake.
Ni kipindi serikali ijue ni jinsi gani taarifa zao zipo kwa watu wa mataifa na fikra juu ya serikali.Hawa wageni wana live experience na polisi katika rushwa, msaada duni usio msaada wa polisi yaani polisi hawezi to maamuzi yanayojali muda na usalama wa huyu mgeni na masikini wa Tanzania wanaosubiri msaada, mlolongo wa kupata huduma za askari, uelewa mdogo wa askari pale wanapopewa maelezo ili watoe msaada, ukorofi wa polisi wanaopiga watuhumiwa vituoni na kuwavuta kama wanyama kwa sifa ili wageni wawaone kuwa wapo serious, na mengineyo.Wageni hawa wana wajua CDM na industry nzima ya utalii ina watu wenye mapenzi na CDM na wengi huwapa hata zawadi wageni wao mapambo ya CDM.Kwa serikali kuandika habari za upotoshaji ni kujipoteza kuaminika zaidi ya mengine.Yaani mechi polisi v/c CDM polis hawana vote, CCM/CDM ccm hawana point,labda viogozi wachache wanaweza pewa moyo.Wageni wa kiasia bado wana mitizamo mizuri kwa CCM.
1.wakisikia habari ama kuona kuona gazeti lina heading CHADEMA/CCM huwa wanatazama kwa makini sana.
2.Na kila habari waisomayo huwa wanaitazama CDM katika mtazamo positive sana.
3.Wanajitahidi sana kuficha hisia zao sana,ila wanafanya sana interview na watu wetu.
4.Wengi wanaichuka sana CCM na police wetu.
5. Wengi hawajui sana siasa za nchi(zaidi ya kujua kuwa ni mabaki ya socialism) wala imani za vyama ila wanajua kuwa CDM ni serious part na ni chaguo number one kwa vijana naraia wenye fikra makini.
Mbali na haya hapo juu pia nimekuja gundua kuwa hawa jamaa wanafanya tafiti binafsi na za kitaasisi kuhusu maendeleo ya kisiasa, haki za binadamu na jitihada za kuondoa umasikini kwa umakimi sana.Maswali waulizayo yanalenga sana kujua hisia za mzawa, na maelezo kamili ya siasa za nchi,halafu wanamalizia hapo.
Nimekuja ona kuwa viongozi wa Tanzania chini ya CCM si waelewa sana.Kama jinsi Dr. Slaa alivyotuma SMS na bado uelwa haukuwa mzuri kwa idara zote za usalama ktk nchi,ndivyo pia kauli za mataifa serikali haizielewi. Mfano..mgeni anapojaribu kusema "I think president Kikwete is doing a good Job".Si vigumu sana kuelewa ni wapi wana CCM walipata wazo kuwa "Rais anakubalika, rais ni mchapa kazi ila ni watendaji" na kutembea vifua mbele kuisema.So much programmable.
Nimeona hisia zao kuhusu CDM pale wanapochati na mzawa kuhusu siasa na utamaduni hujaribu pima hisia za watu na wanapojiridhisha kuwa CDM ni chagu basi nao huelezea waliyoyasikia ktk magazeti ya hapa, na kutoka kwa wenzao waliopo nchini kwa muda mrefu, na hata mashirika ya kwao.Pia wanaongea umbea wakiwa katika faragha na hata hadharani.Ila hadharani huwa wanaongea kwa mafumbo sana bila kuonyesha hisia ila macho na msisitizo wa maneno unaficha hisia zao.Wana peana update sana ktk mailingi lists zao kuhusu matukio ya ujambazi,vifo na mahusiano yao na siasa,dini na tamaduni.Na wengine wakisikia wana CCM wakipiga blah blah za maendeleo na umakini wa president basi unaona majibu yao yanavyojaribu kuonyesha kuwa serikali si rais na hawataji alichofanya ila wanataja jitihada/majaribio.Jitihada/majaribio zina dhana isiyosema kiasi cha utendani ,kama ilivyo kutangaza nia bila kufanya jambo au kufanya kwa kiasi kidogo sana.Wengi ya niliokuwa nao baada ya kuwabana sana,walinieleza yale niliyokuwa nayo katika fikra.Yaani kwa vile Africa kuna viongozi wabovu,katili,corrupt na wenye ulafi wa hali juu.Kwao ni jambo jema sana kutafuta nchi na viongozi wenye afadhali na kuwapa moyo kadiri iwezekanvyo.Matumaini yakiwa pengine watageuka na kuwa viongozi wazuri na mfano kwa wengine katika siku za usoni.Balancing ya hii dhana bado haijaeleweka sana hata kwa rais mwenyewe ndio maana yupo busy kukimbilia nje akiwa na bakuli lake.
Ni kipindi serikali ijue ni jinsi gani taarifa zao zipo kwa watu wa mataifa na fikra juu ya serikali.Hawa wageni wana live experience na polisi katika rushwa, msaada duni usio msaada wa polisi yaani polisi hawezi to maamuzi yanayojali muda na usalama wa huyu mgeni na masikini wa Tanzania wanaosubiri msaada, mlolongo wa kupata huduma za askari, uelewa mdogo wa askari pale wanapopewa maelezo ili watoe msaada, ukorofi wa polisi wanaopiga watuhumiwa vituoni na kuwavuta kama wanyama kwa sifa ili wageni wawaone kuwa wapo serious, na mengineyo.Wageni hawa wana wajua CDM na industry nzima ya utalii ina watu wenye mapenzi na CDM na wengi huwapa hata zawadi wageni wao mapambo ya CDM.Kwa serikali kuandika habari za upotoshaji ni kujipoteza kuaminika zaidi ya mengine.Yaani mechi polisi v/c CDM polis hawana vote, CCM/CDM ccm hawana point,labda viogozi wachache wanaweza pewa moyo.Wageni wa kiasia bado wana mitizamo mizuri kwa CCM.