Kubalini tu kwamba JK kama mchezaji wa Uruguay kacheza mpira unaoingia kimiani..CCM wamejipanga vizuri bara na visiwani na sioni mahala Upinzani wanaweza kumpa shida unless...... mnajua nataka kusema nini?
Ni wakati wa penalt kick - Upinzani chagueni wapigaji tuone!
Ninavyomfahamu Jakaya kwakawaida ni jeuri, lakini kwa kumteua Bilal kuwa running mate wake ameonesha ukomavu na busara ya kisiasa kuwa anaweza kusikiliza ushauri!! I could be wrong lakini nadhani yeye mwenyewe hakuwa na wazo la kumteua Bilal bali wazee wenye busara walishaona ugumu wa ccm kushinda visiwani pale wanaccm kutoka visiwani walipoondoka Dodoma na kurudi visiwani kabla ya Congress!! Bila kumteua Bilali kazi ingewawia ngumu sana safari hii; na ndio maana kuja kwa Salmin Dododma kwenye vikao vya uteuzi kulikuwa na maana yake muhimu!! Tushukuru sanity prevailled!