Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Nadhani Dar iliwahi kumpeleka Mrema, Lamwai n.k. bungeni! Lakini bila shaka watu wa Dar wamekuwa cynical kutokana na matendo yao. Ukichukuwa idadi ya watu vijijini na idadi ya constituency zao basi utaona kuwa bado kuna upungufu.
Amandla........
Well madiwani je, wapo wangapi wa upinzani Dar?