Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
:washing:Hakukubali kirahisi rahisi wazee wa kazi waliingia kazini.....akawa hana jinsi zaidi ya kukubali yaishe!!Siasa ni mchezo wa ajabu sana.Unakila aina ya mbwembwe na vituko vya ajabu.Hoja yangu ya msingi nikuwa nimeshangazwa na uamuzi wa Dr Bilal kukubali uteuzi huu...kukubali kuwa rubber stamp.SIkutarajia kama angekubali..