Bilal ni moja kati ya nguzo za mshikamano wa CCM Bara na Visiwani hasa pale inapofikia juu ya uteuzi wa mgombea wa nafasi ya Raisi wa Zenj, kumbwaga ingewezekana kama ilivyofanyika mwaka wa 2005, ila kule kwetu hakuaminiki na lolote lingeweza kutokea au litatokea juu ya uamuzi huu waliouchukua CCM bara nasema hivyo kwa sababu ya uwezo wa kumpitisha mgombea yeyote hata kama Zenj hawamtaki kama ilivyofanyika mwaka wa 2000 ambapo kura zilishapigwa na matokeo yalibatilishwa DOM, Mzee Mwan.... Bilal ni mvumilivu angelibaki tu, vilivile alilenga mwezi ndo maana aliangukia kwenye nyota alipoukosa.