Kwa sasa MIMBA ni hatari kuliko DHAMBI

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Sep 8, 2015
2,351
2,303
Ulimwengu wetu uko kasi sana, ukiangalia tulikotoka na tunakoelekea utashuhudia mwenyewe.
Kwa sasa kuna matangazo mengi sana ya jinsi ya kutumia uzazi wa mpango na matangazo elimu kwa vijana juu ya njia za kujikinga na kupata mimba.

Kwanini elimu hii isitolewe kwa wanandoa? Unamfundisha mtoto mambo ya uzazi kwani kuolewa? Kama hajaolewa elimu ya uzazi inamhusuje?
Jamii haioni kama itahamasisha ngono kabla ya ndoa? Kwanini jamii isitumie nguvu kufundisha madhara ya ngono kabla ya ndoa?.

Kamwe siwezi kuruhusu mtoto wangu atembelee vutuo vya aina hiyo badala yake anapaswa kujua kufanya ngono kabla ya ndoa ni dhambi na matokea ya dhambi hiyo ni mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa,kuaibia kwa jamii n.k.

Shetani anapambana sana hachoki wala hakati tamaa. Tuwe makini sana
(2Timotheo 3:1-5)
 
Ulimwengu wetu uko kasi sana, ukiangalia tulikotoka na tunakoelekea utashuhudia mwenyewe.
Kwa sasa kuna matangazo mengi sana ya jinsi ya kutumia uzazi wa mpango na matangazo elimu kwa vijana juu ya njia za kujikinga na kupata mimba.

Kwanini elimu hii isitolewe kwa wanandoa? Unamfundisha mtoto mambo ya uzazi kwani kuolewa? Kama hajaolewa elimu ya uzazi inamhusuje?
Jamii haioni kama itahamasisha ngono kabla ya ndoa? Kwanini jamii isitumie nguvu kufundisha madhara ya ngono kabla ya ndoa?.

Kamwe siwezi kuruhusu mtoto wangu atembelee vutuo vya aina hiyo badala yake anapaswa kujua kufanya ngono kabla ya ndoa ni dhambi na matokea ya dhambi hiyo ni mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa,kuaibia kwa jamii n.k.

Shetani anapambana sana hachoki wala hakati tamaa. Tuwe makini sana
(2Timotheo 3:1-5)
KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI

Watu wana ajenda zao mkuu
 
Ndo maana vita, magonjwa, njaa na umaskini haviwezi kuisha kamwe, na kila siku matatizo yanaongezeka

Binadamu tumekuwa waovu sana, yaani kwa kizazi cha sasa sijui kama kuna mtu tena anakumbuka kufanya ngono ni dhambi, tena ni dhambi ambayo inamchukiza Mungu

Kidini wanasema ni dhambi ambayo unaifanya ndani ya mwili, na ndani ya mwili wako kuna hekalu la roho mtakatifu, hivyo unavyofanya dhambi hii unamfukuza roho mtakatifu ndo hapo mikosi, laana, magonjwa umaskini hukuandama maana hauna tena roho wa Mungu ndani yako ni upo upo tu umebeba mwili wenye nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana vita, magonjwa, njaa na umaskini haviwezi kuisha kamwe, na kila siku matatizo yanaongezeka

Binadamu tumekuwa waovu sana, yaani kwa kizazi cha sasa sijui kama kuna mtu tena anakumbuka kufanya ngono ni dhambi, tena ni dhambi ambayo inamchukiza Mungu

Kidini wanasema ni dhambi ambayo unaifanya ndani ya mwili, na ndani ya mwili wako kuna hekalu la roho mtakatifu, hivyo unavyofanya dhambi hii unamfukuza roho mtakatifu ndo hapo mikosi, laana, magonjwa umaskini hukuandama maana hauna tena roho wa Mungu ndani yako ni upo upo tu umebeba mwili wenye nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumefanya kawaida sana enzi nakua ilikuwa dhambi ila sasa naona imekuwa kawaida kwa kweli hiki kizazi unaweza kuogopa kuzaa huku mbeleni naona sijui itakuwaje ?
 
Ulimwengu wetu uko kasi sana, ukiangalia tulikotoka na tunakoelekea utashuhudia mwenyewe.
Kwa sasa kuna matangazo mengi sana ya jinsi ya kutumia uzazi wa mpango na matangazo elimu kwa vijana juu ya njia za kujikinga na kupata mimba.

Kwanini elimu hii isitolewe kwa wanandoa? Unamfundisha mtoto mambo ya uzazi kwani kuolewa? Kama hajaolewa elimu ya uzazi inamhusuje?
Jamii haioni kama itahamasisha ngono kabla ya ndoa? Kwanini jamii isitumie nguvu kufundisha madhara ya ngono kabla ya ndoa?.

Kamwe siwezi kuruhusu mtoto wangu atembelee vutuo vya aina hiyo badala yake anapaswa kujua kufanya ngono kabla ya ndoa ni dhambi na matokea ya dhambi hiyo ni mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa,kuaibia kwa jamii n.k.

Shetani anapambana sana hachoki wala hakati tamaa. Tuwe makini sana
(2Timotheo 3:1-5)
Wewe unadhani kila binadamu anaamini hayo mambo ya dini?

Dunia ina watu zaidi ya bilioni 10, jumla ya wakristo na waislamu kwa mfano, ni takribani bilioni 2 tu! Hayo mambo ya dhambi na shetani unayajua wewe, sio kila mtu.
 
Ndo maana vita, magonjwa, njaa na umaskini haviwezi kuisha kamwe, na kila siku matatizo yanaongezeka

Binadamu tumekuwa waovu sana, yaani kwa kizazi cha sasa sijui kama kuna mtu tena anakumbuka kufanya ngono ni dhambi, tena ni dhambi ambayo inamchukiza Mungu

Kidini wanasema ni dhambi ambayo unaifanya ndani ya mwili, na ndani ya mwili wako kuna hekalu la roho mtakatifu, hivyo unavyofanya dhambi hii unamfukuza roho mtakatifu ndo hapo mikosi, laana, magonjwa umaskini hukuandama maana hauna tena roho wa Mungu ndani yako ni upo upo tu umebeba mwili wenye nyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa soda kaka
 
Wewe unadhani kila binadamu anaamini hayo mambo ya dini?

Dunia ina watu zaidi ya bilioni 10, jumla ya wakristo na waislamu kwa mfano, ni takribani bilioni 2 tu! Hayo mambo ya dhambi na shetani unayajua wewe, sio kila mtu.
Bas na habari za dini zitolewe pia maana hazina maana kwa jamii wala msaada
 
Watu wana ajenda zao, ukisikiliza hayo matangazo yao, kwa mwenye akili unaishia kusikitika, ila tutafanyaje na wenye nguvu ndio madhalimu, pinga ukose misaada.

😂 😂 Tunacheka kama mazuri ila inasikitisha.
 
Back
Top Bottom