Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,351
- 2,303
Ulimwengu wetu uko kasi sana, ukiangalia tulikotoka na tunakoelekea utashuhudia mwenyewe.
Kwa sasa kuna matangazo mengi sana ya jinsi ya kutumia uzazi wa mpango na matangazo elimu kwa vijana juu ya njia za kujikinga na kupata mimba.
Kwanini elimu hii isitolewe kwa wanandoa? Unamfundisha mtoto mambo ya uzazi kwani kuolewa? Kama hajaolewa elimu ya uzazi inamhusuje?
Jamii haioni kama itahamasisha ngono kabla ya ndoa? Kwanini jamii isitumie nguvu kufundisha madhara ya ngono kabla ya ndoa?.
Kamwe siwezi kuruhusu mtoto wangu atembelee vutuo vya aina hiyo badala yake anapaswa kujua kufanya ngono kabla ya ndoa ni dhambi na matokea ya dhambi hiyo ni mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa,kuaibia kwa jamii n.k.
Shetani anapambana sana hachoki wala hakati tamaa. Tuwe makini sana
(2Timotheo 3:1-5)
Kwa sasa kuna matangazo mengi sana ya jinsi ya kutumia uzazi wa mpango na matangazo elimu kwa vijana juu ya njia za kujikinga na kupata mimba.
Kwanini elimu hii isitolewe kwa wanandoa? Unamfundisha mtoto mambo ya uzazi kwani kuolewa? Kama hajaolewa elimu ya uzazi inamhusuje?
Jamii haioni kama itahamasisha ngono kabla ya ndoa? Kwanini jamii isitumie nguvu kufundisha madhara ya ngono kabla ya ndoa?.
Kamwe siwezi kuruhusu mtoto wangu atembelee vutuo vya aina hiyo badala yake anapaswa kujua kufanya ngono kabla ya ndoa ni dhambi na matokea ya dhambi hiyo ni mimba zisizotarajiwa, magonjwa ya zinaa,kuaibia kwa jamii n.k.
Shetani anapambana sana hachoki wala hakati tamaa. Tuwe makini sana
(2Timotheo 3:1-5)