matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,373
Kwa mtazamo wangu katika dini zenye misimamo mikali Uislam ni wa mwisho. Ukifuata misimamo ya Yesu tu utakuwa zaidi ya tishio.
Kwa mujibu wa nadharia za njama (Conspiracy theories) inaonekana magaidi karibu wote huwa ni project za Wazungu.
Mfano Osama Ibn Laden alitengenezwa na US ili kuithibiti USSR Afganstan. ISIS inaonekana ni kazi ya Mossad, hata Hamas inaonekana ilianzishwa na Israel ili kumtuliza Yasser Arafat.
Najiuliza tu kwanini mabeberu wanapenda kutumia uislam kutimiza kazi zao mbaya? Kwanini wasitumie ukristo ambao wanaujua zaidi Au kutumia Uyahudi (Judaism)? Ikumbukwe Kulikuwa na vikundi vingi vya kigaidi vya kiyahudi enzi za Yesu wakiwemo Mazealoti, Wakina Barkokeba.
Najiuliza, Msingi wa mada sio uislam, ni nadharia kwamba vikundi vingi vya kigaidi ni project za Wazungu, kwa niniwatumie uislam?
Kwa mujibu wa nadharia za njama (Conspiracy theories) inaonekana magaidi karibu wote huwa ni project za Wazungu.
Mfano Osama Ibn Laden alitengenezwa na US ili kuithibiti USSR Afganstan. ISIS inaonekana ni kazi ya Mossad, hata Hamas inaonekana ilianzishwa na Israel ili kumtuliza Yasser Arafat.
Najiuliza tu kwanini mabeberu wanapenda kutumia uislam kutimiza kazi zao mbaya? Kwanini wasitumie ukristo ambao wanaujua zaidi Au kutumia Uyahudi (Judaism)? Ikumbukwe Kulikuwa na vikundi vingi vya kigaidi vya kiyahudi enzi za Yesu wakiwemo Mazealoti, Wakina Barkokeba.
Najiuliza, Msingi wa mada sio uislam, ni nadharia kwamba vikundi vingi vya kigaidi ni project za Wazungu, kwa niniwatumie uislam?