Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Nimekuwa nikijiuliza kwa nini watumishi wengi wanapoamua kugombea ubunge wanakimbilia ccm tu na si upinzani kama cdm hivi?wanaogopa?kwani sheria inawakataza kugombea upinzani?au kuna tatizo?na je akishindwa kupata ubunge huo hatarudishwa kazini?maana katika wale ninao wafahamu walowahi kufanya hivo ni dr mvungi aliye gombea urais 2005.kuna siri gani zaid hapa wanajf?