Kwa nini watu wanacheat?

Pretty my dia ukiangalia majbu hapa ni kuwa watu wanacheat kwa kuwa si rahisi watu kuishi kwa spice moja tu maishani so they want a different taste. Cha kushangaza ni wanaume tu ambao wanaihitaji (kuruhusiwa ) kubadili hiyo taste sijui wanawake taste buds zao hazifanyi kazi?
 
Kila mtu ana cheat kwa sababu zake binafsi..
-kuna wanaocheat kwa sababu kamuona mbu anacheat(no pun intended)
-kuna wanaocheat kwa sababu hawaridhishwi na wenza wao
-wengine kwa sababu iko damuni, hawaridhiki na mwanamke/mwanaume mmoja.
 
Animal nature ... it's biology.
Naturally tunatakiwa kuwa na sexual partners wengi (yaani kibayolojia)
Lakini social life yetu inataka man to woman, ama siku hizi man to man! Hhhaaa hhaaaa, ngumu!
Mkulu hii nimeipenda.
 
Kila mtu ana cheat kwa sababu zake binafsi..
-kuna wanaocheat kwa sababu kamuona mbu anacheat(no pun intended)
-kuna wanaocheat kwa sababu hawaridhishwi na wenza wao
-wengine kwa sababu iko damuni, hawaridhiki na mwanamke/mwanaume mmoja.

Mkuu....You're right on the money on this one...Lakini If you Love your partner or spouse...and you also recognise each others' needs....and make an effort to satisfy them....then (I believe) there will be No Cheating.
 
Animal nature ... it's biology.
Naturally tunatakiwa kuwa na sexual partners wengi (yaani kibayolojia)
Lakini social life yetu inataka man to woman, ama siku hizi man to man! Hhhaaa hhaaaa, ngumu!

Mkulu hii nimeipenda.

...:eek: ASTAGHAFIRULLAH!!!!! Bonnie1974, vipi?
 
Pretty my dia ukiangalia majbu hapa ni kuwa watu wanacheat kwa kuwa si rahisi watu kuishi kwa spice moja tu maishani so they want a different taste. Cha kushangaza ni wanaume tu ambao wanaihitaji (kuruhusiwa ) kubadili hiyo taste sijui wanawake taste buds zao hazifanyi kazi?


Siyo kweli kweli kwamba wanaume pekee ndo wameruhusiwa kubadili kwani wakati mwingine wanakuwa na wake za wenzao katika kubadili hiyo ladha; kilichopo hapa ni kwamba mila na desturi za kiafrika hazijampatia fursa mwanamke kutongoza pale anapohisi kuwa na mvuto na mwanamme.

Wakati mwingine cheating inatokea naturally kutokana na mahusiano ya maisha ya kila siku yawe ya kikazi au vinginevyo; na kwa vile siyo rahisi kuwa na mwenzi wako kila sehemu inakuwa ngumu kuzizuia affection pale zinapojitokeza. Inapojitokeza mwanamume kumtendea wema mwanamke, kitu ambacho mara nyingi mwanamke anafikiria kuwa anaweza kukitoa kama asante yake na ikatosheleza kwa kiasi kikubwa (bila hata yeye kuombwa na mwanamume) ni kumpatia mwanamume Kei. Na kwa vile hisia za mapenzi tunatembea nazo kila sehemu na zenyewe huwa zinaweza fumfukia yeyote, kama hakuna mhusika halali wa karibu inakuwa ngumu kuzizuia.

Wakati mwingine kuwa mbali na mwenzi wako kuanweza kukuangusha na kujikuta unacheat, kiwango cha ustawi wa mahaba katika mahusiano yaliyopo kunaweza kuwa sababu, kujaribu vionjo mbalimbali.
 
Pretty,

Binadamu anaangukia kwenye kundi la wanyama. Basi kama walivyo wanyama wengine, chukua mfano ng'ombe dume, mbuzi dume, kondoo dume hata kuku jogoo, wote hawa wana multiple partners. utakuta kwenye kundi dume moja haliwezi kuridhika na jike moja linataka li-test kwa kila jike. Lakini pamoja na hayo yote wewe binadamu mwanaume be aware of HIV/AIDS. Kuwa mwaminifu kwa partner wako
 
Pretty my dia ukiangalia majbu hapa ni kuwa watu wanacheat kwa kuwa si rahisi watu kuishi kwa spice moja tu maishani so they want a different taste. Cha kushangaza ni wanaume tu ambao wanaihitaji (kuruhusiwa ) kubadili hiyo taste sijui wanawake taste buds zao hazifanyi kazi?


kwa men haiwezekani ku-share mke,...but mme aweza kuwa shared..
 
Bonnie,
Unaposema both, kweli kuna mwanamke anaweza kusema au kukubali hayo?
Nina mdogo wangu nimemwoza kwa jamaa mmoja,of course, huyo bwana ni shemeji yangu sasa kwa taratibu zote.
Lakini:
1.Jamaa ni muongo kupitiliza.Anaweza kujenga ghorofa kwa maneno, lakini mdogo wangu na members wengine wa ukoo na marafiki wa karibu wanamwamini ile mbaya.
2.Jamaa anacheat vibaya mno,na mkewe(mdogo wangu anajua hilo ) lakini duh ..mdogo wangu aelewi.

Lakini vilevile thru uzoefu wa maisha nilionao.Mtu mkweli kwa kauli na vitendo na anayeheshimu ndoa yake hana nafasi kwenye jamii(najua hili linaweza kuleta mjadala)

Mtu unatakiwa kuwa muongo muongo hivi thru experience(sipendi lakini ndiyo reality),ofisini utafoji virisiti,mara utafanya hivi na vile, ili mradi ni uongo kila mahala.Utandanganya umefiwa upate kaadvance...n.k
 
Mtu unatakiwa kuwa muongo muongo hivi thru experience(sipendi lakini ndiyo reality),ofisini utafoji virisiti,mara utafanya hivi na vile, ili mradi ni uongo kila mahala.Utandanganya umefiwa upate kaadvance...n.k

Mkuu uongo katika ndoa unasaidia sana kunusuru ndoa yako na kuifanya ndoa yako ikuwe katika upendo wa hali ya juu lazima upige fiksi kidogo lakini uongo usipitilize kama wanavyo danganya wengine duh inakuwa kamba mpaka mmmh! Lakini wanaume wengi tunaamini kuwa wanawake ni wepesi kukubali uongo kuliko ukweli halisi.
 
Mkuu uongo katika ndoa unasaidia sana kunusuru ndoa yako na kuifanya ndoa yako ikuwe katika upendo wa hali ya juu lazima upige fiksi kidogo lakini uongo usipitilize kama wanavyo danganya wengine duh inakuwa kamba mpaka mmmh! Lakini wanaume wengi tunaamini kuwa wanawake ni wepesi kukubali uongo kuliko ukweli halisi.
Twaib sheikh twaib.
Tupo the same page.
 
Mkuu uongo katika ndoa unasaidia sana kunusuru ndoa yako na kuifanya ndoa yako ikuwe katika upendo wa hali ya juu lazima upige fiksi kidogo lakini uongo usipitilize kama wanavyo danganya wengine duh inakuwa kamba mpaka mmmh! Lakini wanaume wengi tunaamini kuwa wanawake ni wepesi kukubali uongo kuliko ukweli halisi.
Naomba niende mbali kidogo.
Jamii inakubali uongo zaidi, kuliko ukweli halisi.
 
ahahahahaha..cheat..msiumize sana vichwa wadau...sie midume tunatamani kwa kuona ...kwa hivyo tegemea mwanaume avutiwe kucheat just simply kwa kuona....wenzetu wa kike cheat yao inakuja baada ya mazoea na kuanza ku-admire mtu waliye zoeana..ndio utaskia yule jamaa nampenda suti yake au nampenda alivyojazia kimichezo...sie ni simple tu ebwanaaehee..yule shorty kajibeba ..hmahaja anayo ..full mihipc na mengineyo..mara fasta unampa beibe-beibe-beibe..akikuelewa fasta unachana nyavu..hata kama ni ndani ya nusu saa baada ya kumwona....na pia MWANAMKE MZURI KWA MWANAUME NI YULE AMBAYA HUJAMLA URODA...haijalishi vipi...hata awe mzuri kama malkia wa ujinini..as long as ushamla uroda hana deal kwa mwanaume
 
Pretty,

Cheating ni tatizo na ni ishara mbaya kwa jamii, kwa ndoa, kwa organization, kwa uchumba, kwa vyama vya siasa au vya kiraia, etc. Put it simple cheating is a sign of corruption.

Sasa kwa nini watu wana-cheat? hapa nadhani context ni kwenye mahusiano. Watu wana-cheat kwa sababu ya lack of moral values, lack of ethical values, emotional incompetence, etc. etc.

Cheating is corruption. Cheaters are corrupt morally, ethically, emotionally, etc ..... you name it.

Kwa hiyo cheating is not a healthy situation kama baadhi hapa wanavyoonekana ku-suggest. Binadamu umepewa the faculty of intelligence ambayo inatutofautisha na wanyama wengine. With this faculty moral and ethical values are imprinted. Sasa ukikosa vitu hivyo we utakuwa ni mtu wa ku-cheat and you will see comfort in cheating.

kwa nini cheating ni ishara mbaya? Danganywa uone utakavyo feel. Ukidanganywa halafu bado unaona ni normal, ujue una tatizo. Uongo au cheating siku zote kwenye mahusiano una matokeo mabaya na kila mtu anajua hilo. Sasa kwa nini aendelee kudanganya wakati anajua anachofanya kibaya? Ndo hayo niliyoelezea hapo juu.

Wakati mwingine mtu unaweza kujiuliza kwa nini watu wanakuchukia mtu mweusi au Mwafrika hasa ukienda Ulaya? They are afraid of your trickery. You will cheat at opportune and inopportune moments. You cannot be trusted. You are corrupt. You have no moral values. etc. etc.....

Kwa hiyo cheating in relationships si tofauti sana na cheating elsewhere. Zote ni dalili za kitu kimoja; corrupt personality, incompetent personality, poor personality, na vitu vinavyofanana na hilo.

Cheaters wa kwenye relationships will cheat elsewhere at different levels but surely they will cheat. They will cheat on money, they will cheat in exams, they will cheat.......

Cheating ni ishara ya jamii inayoamini katika mkato.

Tiba ya cheating??? Change yourself to negate the very characteristics of cheating! Ukijibadilisha wewe you will enlighten others.
 
Back
Top Bottom