klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Umemuuliza Kongosho lakini acha nifyetue mimi ninavoelewa mkuu.Kongosho
Hivi kwa nini mwanaume akiwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wengi watu wanamuita mkali, mwanamke akiwa na mahusiano na wanaume wengi anaitwa malaya.
Jibu
Its unnatural.
Tunadanganyana tu kwamba mwanamke na mwanamme ni sawa lakini kiukweli hawawezi kuwa sawa hata iweje.
vyoo vyenyewe tunatumia tofauti pale uwanja wa taifa halaf uniambie tuko sawa?. Tumuheshimu Mungu wajameni
Last edited by a moderator: