Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Jamani msinilaumu sana lakini hilo limenitokea mimi mwenyewe na nimeuliza baadhi ya rafiki zangu nao wameniunga mkono. Yaaaaaaaani, sijui nguvu huwa inatoka wapi!! Wakati fulani nilienda tripu nne bila kupumzika jambo ambalo siyo ninapotumia mali yangu.