Dr-of-three-Phd
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 202
- 30
Wadau/waheshimiwa wabunge/mawaziri wetu/wakurugenzi wetu/na wenye nyadhifa za maamuzi mazito ya kuijenga nchi hii, naomba msaada hapa,
Kuna haja ya kununua magari yaliyotumika Japani kwa bei ya magari mapya mfano ya India? Ilihali baada ya miezi sita unaanza kununua vipuri vya kubadirisha, tu kwa sababu vimeshakwisha?
Kuna haja hiyo kweli hali uchumi wetu hauruhusu kabisa kutumia vibaya hela zetu kwanza kwa kununua kwa kuagiza nje (forex) magari yaliyokwishatumika kwa bei ya mapya (magari Mbadara mfano ya India:Indicar au Mahindra), ambayo mapaka ununue vipuri ni mapaka unasahau kama ulinunua mwaka gani, kwa kuwa kwanza yanatengenezwa yatumike kwenye nchi za ulimwengu wa tatu tofauti na Japani magari mengi yalitengenezwa kwa mazingira ya kwao.
Pili, kama nchi haioni haja ya ku-retain pesa zetu (zinazotolewa nje kwa mradi wa spare zinazotakiwa muda mfupi baada ya mtu kununua gari linalosemakeana jipya?
Tatu, ni lazima turuhusu magari yaliyotumika tena kutoka Japani tu? au ndiyo tu yanayouzwa bei nafuu duniani?, Je hakuna nchi nyingine inayozalisha magari yakiwa mapya na kuuzwa yakiwa mapya kwa bei nafuu kama haya tunayoyaabudu yaliyokwishatumika ya Japani?
Nawakirisha
Aluta Continua!
Kuna haja ya kununua magari yaliyotumika Japani kwa bei ya magari mapya mfano ya India? Ilihali baada ya miezi sita unaanza kununua vipuri vya kubadirisha, tu kwa sababu vimeshakwisha?
Kuna haja hiyo kweli hali uchumi wetu hauruhusu kabisa kutumia vibaya hela zetu kwanza kwa kununua kwa kuagiza nje (forex) magari yaliyokwishatumika kwa bei ya mapya (magari Mbadara mfano ya India:Indicar au Mahindra), ambayo mapaka ununue vipuri ni mapaka unasahau kama ulinunua mwaka gani, kwa kuwa kwanza yanatengenezwa yatumike kwenye nchi za ulimwengu wa tatu tofauti na Japani magari mengi yalitengenezwa kwa mazingira ya kwao.
Pili, kama nchi haioni haja ya ku-retain pesa zetu (zinazotolewa nje kwa mradi wa spare zinazotakiwa muda mfupi baada ya mtu kununua gari linalosemakeana jipya?
Tatu, ni lazima turuhusu magari yaliyotumika tena kutoka Japani tu? au ndiyo tu yanayouzwa bei nafuu duniani?, Je hakuna nchi nyingine inayozalisha magari yakiwa mapya na kuuzwa yakiwa mapya kwa bei nafuu kama haya tunayoyaabudu yaliyokwishatumika ya Japani?
Nawakirisha
Aluta Continua!