Kwa nini siku hizi polisi hawana filimbi?

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
29,047
10,696
Kama sinema vile,jana muda wa saa kumi kasoro hivi mitaa ya Samora karibu na PPF House kibaka/mwizi alikuwa anafanya vitu vyake ghafla akakurupushwa na askari polisi mwenye sare na reflective jacket yake akaanza kumfukuza kupitia mtaa wa Mission, polisi akapigwa chenga kibaka katimua mpaka mitaa ya DMI na kuzama ndani na kuibukia bandarini.Wakati wote huo polisi alikuwa anamfukuza bila na kuwa na filimbi ambayo ingemsaidia kumtia nguvuni kiurahisi kama ilivyokuwa hapo zamani.Siku hivi vipi polisi hawabebi/vaa filimbi?
 
Issue sio kuwa nayo bali ni matumizi.... are you sure kuwa hakuwa nayo??
 
Labda magamba waliwaambia hivyo ili wasiwezi kuwakamata hao vibaka kwani huonda ni moja ya ajira walizosema zimeongezeka kwa vijana
 
Issue sio kuwa nayo bali ni matumizi.... are you sure kuwa hakuwa nayo??

Hawana filimbi,siku hizi naona hawana mgao,angalia hata namba vifuani mwao ni nadra kuziona, hata vjana wanaotoka depo ukiwaona na namba basi ni za kuchonga za plastik wakati zamani ilikuwa chuma. Lkn pia upolisi siku hizi unatoweka unashangaa mtu ana pass out kutoka chuoni hajui kutumia police aid, so c ajabu kuona askari huyo kumfukuza kibaka all that long bila kupuliza filimbi hata angekuwa nayo
 
Hawana filimbi,siku hizi naona hawana mgao,angalia hata namba vifuani mwao ni nadra kuziona, hata vjana wanaotoka depo ukiwaona na namba basi ni za kuchonga za plastik wakati zamani ilikuwa chuma. Lkn pia upolisi siku hizi unatoweka unashangaa mtu ana pass out kutoka chuoni hajui kutumia police aid, so c ajabu kuona askari huyo kumfukuza kibaka all that long bila kupuliza filimbi hata angekuwa nayo
Mkuu hapa umenena,wanatakiwa kuboresha mazingira yao ya kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom