Unaelewa maana ya emergence? wewe Umepelekwa Muhimbili ukiwa na emergence ukaacha kutibiwa? majeruhi wa ajali wakifika Muhimbili hawatibiwi? jitahidi kujiuliza masawali kabla ya kuweka umasaburi hapa.Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
Yeye ni daktari madokta wenzake hawawezi kumuacha afeWakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?
Yeye ni daktari madokta wenzake hawawezi kumuacha afe
Ndio maana yake, jana Ulimboka alivyofika hospitali asilimia kubwa ya madokta walienda kumpokea na kuacha wagonjwa wegnine wakkwa hiyo unataka kutuambia mgomo wa madaktari ni kutowatibu watu wasio madaktari tu??
Ulitaka apelekwe India?Wakati madaktari wakiwa kwenye mgomo baridi wa kutoa huduma ilikuwaje wakampeleka Dr Ulimboka hapo Muhimbili? Au walitaka afe kwa kukosa huduma? Au wanajua kuwa watu maalum hawataathiriwa na mgomo?