Kwa nini dr. Slaa anaingia jf mara kwa mara?

sifa tupewe na nani? nilikua napoke elfu 67 na ushee nikajituma weee, yakanishinda... bila kuiba au kudokoa hata kakorolla ka 95 tulishindwa kununua

Kwa 67 lazima uchemshe, na pia hii inachangiwa pale unapoona wenzio wenye qualifications sawa na wewe wako tafauti na wewe kimapato na kutokana na kazi zao. Na hapa ndipo ukweli wa equity & expectancy theory of work motivation unapoonekana
 
usishangae Malaria Sugu akawa ndiye Mkwere wetu. Hah hah

Teh Teh,

Mkwere akiingia kwa jina hilo sitashangaa,

Maana hata kampeni zake za malaria anaamini mtu akipewa neti haumwi malaria wakati muhimu ni kuua mazalia ya mbu.

Teh teh
 
Teh Teh,

Mkwere akiingia kwa jina hilo sitashangaa,

Maana hata kampeni zake za malaria anaamini mtu akipewa neti haumwi malaria wakati muhimu ni kuua mazalia ya mbu.

Teh teh

Mbaya zaidi watanzania wanatumia hizo net kuwinda samaki.
 
nna mashaka na muanzisha mada

huenda ameanzisha makusudi kumjenga au huenda huyu ni Dr slaa amejianzishia mada kwa jina jengine

Mkuu hisia zako sio sahihi, mtiririko wa mawazo yangu si sawa na Dr. Slaa. Hebu fauatilia hapa hapa ndani utapata ukweli mbona rahisi sana.
Ni vizuri kuwa hizo ni hisia zako.
 
Unajua watu siyo wastarabu hata kidogo na pia hawana akili hata chembe..

Jf ni mahali cha kutoa changamoto na siyo matusi.. Ila iko siku tu hawa wote watashindwa kwa jina la yesu na wanaharakati wa maendeleo ya ukweli ya tanzania tutashinda..

Slaa ni mtu makini hawezi kukasirika na wachache wanaomkashifu wakati wako wengi ambao michango yako inasidia sana nchi yetu.. Slaa ndiye rais wangu 2015.
 
Unajua watu siyo wastarabu hata kidogo na pia hawana akili hata chembe..

Jf ni mahali cha kutoa changamoto na siyo matusi.. Ila iko siku tu hawa wote watashindwa kwa jina la yesu na wanaharakati wa maendeleo ya ukweli ya tanzania tutashinda..

Slaa ni mtu makini hawezi kukasirika na wachache wanaomkashifu wakati wako wengi ambao michango yako inasidia sana nchi yetu.. Slaa ndiye rais wangu 2015.
Na washindwe kweli.
Watu wanatoka kwenye hoja za msingi ili kutupoteza tubaki kulumbana kwa mambo yasiyo kuwa ya msingi na wala si public interest.

Uvumilivu ni kitu cha msingi ili kufikia malengo yetu. Naamini hapa ni mahala pazuri kwa ajili ya kushirikishana yale tuliyonayo zaidi hata ya kuongea ana kwa ana, maana wengine hatuwezi kuongea ana kwa ana na hivyo hatuwezi kuchangia kwenye mikutano ya ana kwa ana.

Lakini kwa kuongea kutumia keyboard ni hakika tunaweza kupata mawazo ya kila mmoja wetu kwa usahihi zaidi. Hivyo tuvumiliane tusitukanane, wote ni watanzania na ni ndugu.
 
Binafsi huwa napenda sana anapokuja kama yeye Slaa na kupangua hoja mbalimbali ambapo isingelkuwa hivyo basi wengi tungekuwa na msimamo tofauti kutokana na hoja zinazojengwa juu yake na CDM.


Inatakiwa viongozi mbalibali waige haya. Huwa nafurahi pia kumuona Zitto akija kupangua hoja mbalimbali. Hapa Jf kua wanafiki wengi wanatoa shutuma zisizo na msiko na bila ya hawa watu kuja hapa kutoa maelezo tungesha wahukumu kwa makosa yasiyo yao!
 
Hana kazi za maana huwa anapenda majungu na upupu wa humu.

Je na wewe huna kazi za maana pia ndio maana umesoma thread hii???

Mijitu mingine hata sijui kama akili hufanya kazi iliyokusudiwa na Mungu
 
Mkuu hisia zako sio sahihi, mtiririko wa mawazo yangu si sawa na Dr. Slaa. Hebu fauatilia hapa hapa ndani utapata ukweli mbona rahisi sana.
Ni vizuri kuwa hizo ni hisia zako.

Mabel usipoteze nguvu zako bure, huyo ni Mtu wa Pwani hana muda wa kufikiri na kufuatilia maswala.
 
Je na wewe huna kazi za maana pia ndio maana umesoma thread hii???

Mijitu mingine hata sijui kama akili hufanya kazi iliyokusudiwa na Mungu

Mkuu hizi nitofauti za kifikira baina ya mtu na mtu, kikubwa teendelee kuelimishana ili angalau wote tuwe na common interest kwa ajili ya tanzania ya sasa na hata ijayo.
 
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja? (TUJADILI)


Binafsi naamini Slaa (PHD) ni mtu au ni kiongozi tofauti sana na viongozi wengine wa Tanzania na hasa Africa kwa ujumla, anaumia sana anapoona watu humu jamvini wanatoa hoja zinazodhihirisha kutokuelewa kwao kwa mambo ya kitaifa au tu kwa kuwa na maslahi binafsi na serikali au chama tawala.


Dr. Slaa anaumia sana kuona nchi inageuka mtaji wa watu wachache ambao unachochewa na watanzania wenyewe kutojitambua na kutotambua ni nini iliyohaki yao kutokana na rasimali za nchi yao waliyopewa na Mungu BURE.


Slaa Dr. ni mtu ninaye mhusudu, ninampenda, ninamheshimu, ninamdhamini na nitaendelea kufanya hivyo kwa nafsi yangu si kwa sababu ya chama chake, sura yake, imani yake na vitu vingine kama hivyo, ila ni roho yake ya kibinadamu, kusimamia haki, kuwa muwazi kwake binafsi, na hekima aliyopewa na MUNGU ili kutetea haki za wanyonge wana wa Taifa hili tunaoumia kwa maslahi ya watu wachache na familia zao na marafiki zao ambayo ni mazao ya msingi mbovu wa Taifa.


Hivi kweli kwa wengine (wanaojifanya miungu watu) wenye hadhi kama ya Dr. Slaa kitaifa na kimataifa wanaweza kujumuika na sisi hapa jamvini? ukizingatia wengine hapa JF ni fyatu.


In fact, watu wote, ambao ni 'well informed' na wenye akili nzuri wanaumia kuona baadhi ya Watz wanaandika au kushabikia upuuzi.
 
WanaJF,
Elimu haina mwisho hadi unaingia Kaburini. Ninaingia mitandao mbalimbali na siyo JF tu. Naamani ni mahali pia ninaweza kutoa mchango wangu wa mawazo licha ya kujifunza kutoka kwa wenzangu. Ningetamani kuona tunajadili hoja zenye manufaa zaidi kwa Taifa letu kuliko kutukanana na pengine kama kweli mtu haelewi kitu ni vema akaelmishwa. Ushabiki, unapoteza sana muda, na kwa bahati mbaya tunasahau kuwa muda ni fedha na sehemu ya umaskini wetu inasababishwa na kukosekana kwa umakini katika kutumia mitandao kama hii "constructively and positively". Mitandao pia ni "very informative". Kwa wale wasiojua, takriban kipindi chote cha Kampeni sikuwa ninasoma magazeti kwa kuwa sehemu nyingi ya nchi yetu au magazeti hayafiki au yanafika kwa kuchelewa sana. Lakini source yangu kubwa ya Information ilikuwa mitandao ambayo nilikuwa ninatumia. That is probably the difference tuko tunaotumia mitandao kwa Tija na wako wanaotumia mitandao destructively. I think this is where we can make the difference. The issue is who decides what is constructive and what is destructive, there are always rules of objectivity and this is what rolls the ball.

Dr. WS, kuna kitu kinanikereketa najaribu kuvumila lakini nashindwa!! nina vijiswali viwili tu ambavyo kwa kadri ninavyoelewa busara zako una majibu ila if you may answer or just not unswer I will understand and wana JF naomba mnisamehe kama nimekiuka kanuni za jamvi, i am still new!.

here are my two questions:
  1. Dr. nikweli ulishinda kwa 64%?
  2. Dr. Unaafiki wafuasi wa CDM wavae T-Shirt zenye picha yako na ushindi wa 64%?
Sorry if I offebded you by the questions, but believe me tuko wengi sana ambao bado hatuja pata ukweli halisi juu ya hili.

Wana JF sorry I just wanted to be honest to my self and ask the two questions bado zinatusumbua wengi.
 
nna mashaka na muanzisha mada

huenda ameanzisha makusudi kumjenga au huenda huyu ni Dr slaa amejianzishia mada kwa jina jengine
hebu ondoa upuuzi wako hapa........ yani hata kujua namna mtu anavyoandika inakushinda? unadhani ni kama wewe na shallow mind yako

get you a$$ off his ****

mijitu mingine bwana sijui ya inakula nini?
 
Slaa ametoa mawazo ya kuosha kwenye page hii jinsi anavyopenda kujumuika na watu ktk network.So big up Dr.Pia napenda sana comment zake kwe facebook,Kwakweli ni unique ukilinganisha na viongozi wengine
 
Mara nyingi Dr. Slaa anapochangia hoja mbalimbali hapa jamvini kuna watu wengine wanatoa lugha za kejeli kwake na hata baadhi kumtukana. Lakini kwa nini basi haachi kuingia na kuchangia Hoja? (TUJADILI)


Binafsi naamini Slaa (PHD) ni mtu au ni kiongozi tofauti sana na viongozi wengine wa Tanzania na hasa Africa kwa ujumla, anaumia sana anapoona watu humu jamvini wanatoa hoja zinazodhihirisha kutokuelewa kwao kwa mambo ya kitaifa au tu kwa kuwa na maslahi binafsi na serikali au chama tawala.


Dr. Slaa anaumia sana kuona nchi inageuka mtaji wa watu wachache ambao unachochewa na watanzania wenyewe kutojitambua na kutotambua ni nini iliyohaki yao kutokana na rasimali za nchi yao waliyopewa na Mungu BURE.


Slaa Dr. ni mtu ninaye mhusudu, ninampenda, ninamheshimu, ninamdhamini na nitaendelea kufanya hivyo kwa nafsi yangu si kwa sababu ya chama chake, sura yake, imani yake na vitu vingine kama hivyo, ila ni roho yake ya kibinadamu, kusimamia haki, kuwa muwazi kwake binafsi, na hekima aliyopewa na MUNGU ili kutetea haki za wanyonge wana wa Taifa hili tunaoumia kwa maslahi ya watu wachache na familia zao na marafiki zao ambayo ni mazao ya msingi mbovu wa Taifa.


Hivi kweli kwa wengine (wanaojifanya miungu watu) wenye hadhi kama ya Dr. Slaa kitaifa na kimataifa wanaweza kujumuika na sisi hapa jamvini? ukizingatia wengine hapa JF ni fyatu.

mkwere nae pia yupohapa!
 
Kwanini Slaa anajibu maswali hapa JF? simple

1. JF =Slaa=CDM

2. Hana kazi, hayuko bize yuko kama mimi

3. Anapenda cheap popularity (of course sifa ya kila mwanasiasa) wengine wanajizuia wana staha

4. Vikao rasmi na agenda za cdm zinaandaliwa JF

I hope these answers your questions? ni Multiple choice chagua inayokufaa ok!
 
Nakubaliana na Dr. Slaa, wakati wote mitandao hii, imekuwa source nzuri ya mawasiliano, mimi huwa najihisi kama niko Tanzania kwa kupitia JF kwani habari zote kuhusu hapo huwa nazipata hapa JF.
Naamini wote ndani ya mioyo yetu tunaitamani Tanzania mpya yenye watu wenye uzalendo na haki kwa nchi yao, sasa hivi vyote vitakuja kwa kuelekezana na kuelimishana, kikubwa tusiwe Static katika kuukubali ukweli na ushauri tunaoupata hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom