Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
IQ ya mtu huchangiwa na mazingira na vinasaba vya mhusika.Hivyo ndugu yangu kama bado hujao basi jitahidi uweze kuja ku influence IQ ya watoto wako. Kama wewe unatafuta tu sura bila kitu kichwani ujue unatafuta kuleta kizazi chenye IQ ya chini ( probability ni kubwa).
Katika mazingira, mwanamke anayepata ujauzito halafu akawa mlevi au hapati lishe nzuri hiyo nayo huchangia kumfanya mwanae awe na IQ ya chini.Mtoto akisha zaliwa, je wazazi wanachangia vipi kuendeleza akili ya mtoto? Soma kitabu cha Joan Freeman - How to Raise a Bright Child - Utajionea mwenye ni vipi malezi na makuzi huchangia.Mzazi unatakiwa umwangalie mwanao ujue kama ni mtoto gifted ili uweze kumwendeleza zaidi badala ya kumshushia vipaji vyake.Mzazi mwelewa una uwezo mkubwa sana kuchangia kupandisha IQ ya watoto wako.
Haya ni kwa uchache tu.
Asante sana .. kwa jibu hili na pili kwa kutoa na reference,