NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Hili ni swali linaniumiza kichwa maisha yangu yote kwa nini baadhi ya watu wamejaliwa akili sana wakati wengine ni mambumbu au wana uwezo mdogo wa uweelewa wa mambo? kielimu na hata kimaisha?
Nitafurahi kuelewa ni kwanini kunakuwa na class ya watu katika ufahamu au uelewa wa mambo.
Mifano iko mingi kutoka mashuleni hadi katika maisha yetu ya kawaida.
Nitafurahi kuelewa ni kwanini kunakuwa na class ya watu katika ufahamu au uelewa wa mambo.
Mifano iko mingi kutoka mashuleni hadi katika maisha yetu ya kawaida.