vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,698
- 1,395
habari zenu wakuu... Nilikuwa naomba kwa mwenye nao au mwenye uwezekano wa kuupata,. "WARAKA UNAOMRUHUSU MTUMISHI WA UMMA KUJICHAGULIA CHAMA CHA WAFANYAKAZI AKITAKACHO"..kuna wadau tunataka kubadili chama cha wafanyakazi tumedaiwa waraka ''ofisi zetu hizi zenye viongozi primitive''.. Tafadhali mwenye nao naomba aweke link, au'upload hapa au anitumie kwenye email