mwanzo wa mwaka umeme juu,nishatu juu bado tupandishiwe nauli...haya yote tutapata maendeleo..na mishara watatuongeza au baraka za kuongoza bei ya umeme,kwani anayepata matatizo ni sisi raia wakawaida,washauri wa bwana mkubwa wako wapi...kwa mtindo huu maendeleo NO....kazi kuchapisha minoti mipya,na nyongeza za ushuru....kwa kwel tunaenda kubaya.....