Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kuna tetesi kwamba wasimamizi wa uchaguzi majimboni wamepewa
amri ya kutotangaza matokeo pale ambapo vyama vya upinzani vimeshinda mpaka kwa kibali cha serikali. Kama kuna anayejua iwapo tetesi hizo ni za kweli hatujuze.
amri ya kutotangaza matokeo pale ambapo vyama vya upinzani vimeshinda mpaka kwa kibali cha serikali. Kama kuna anayejua iwapo tetesi hizo ni za kweli hatujuze.