Nmemis tu vitu vyako mkuuHabari yako,
Nipo.
Europe wanatumia left hand acha uongo, kuwa mkweli kama MAGARI7 anasema wazi kabisa gari zake zinatokea Japan.Ninayo hayo used in Europe ila sijayasafurisha ninauza bei nzuri tu
View attachment 397451View attachment 397453View attachment 397454View attachment 397455View attachment 397456View attachment 397457View attachment 397458View attachment 397459View attachment 397460
Bei ngapi mkuu ?Rav 4 Kili time iko kwenye hali nzuri kama inavyoonekana imelipiwa kila kitu, CC 1790 ya mwaka 2002...Aliye interested tuwasiliane..Bei maelewano...
IST zaidi ya million 13?? hapo tu ndo huwa nawaheshimu madalaliView attachment 404314 View attachment 404315 View attachment 404316 Gari inauzwa
Make : Toyota
Model : Ist
Mileage: 72,296 km
Engine size : 1500 cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Co : Black
M/Year : 2004
Doors : 4
Seats : 5
FEATURES :
Driver Airbag
Power Windows
Air Conditioner front
Power Steering
AM/FM Radio
CD Changer
CD Player
Power Mirrors
@Tshs 13,100,000/=
BEI INAKUA IMEJUMLISHA PAMOJA NA ;
Ushuru
Port charges
Agency fees
Marine insurance
registration
Bima ya barabarani
ecarstanzania@gmail.com
WAHI SASA!
Inakuaga bei gani mkuu??IST zaidi ya million 13?? hapo tu ndo huwa nawaheshimu madalali
Sijanunua kitu kwako.Ahsante sana,
Nilikua nimetingwa na majukumu, hivyo.muda ukawa unanibana sana, pia hata stock ilikua imeisha, hivyo narejea sasa hivi kama kawaida.
Karibu sana
Mkuu 10.5 M bei ya kindugu kabisa ...Bei ngapi mkuu ?
Kama naweza kuvunja kibubu
Sijanunua kitu kwako.
Ila jamaa yangu kanipa bonge la ushuhuda.
Big up bro.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hiyo Rav 4 ya silver milango 5 mpaka ifike dar utaniuziaje?Ninayo hayo used in Europe ila sijayasafurisha ninauza bei nzuri tu
View attachment 397451View attachment 397453View attachment 397454View attachment 397455View attachment 397456View attachment 397457View attachment 397458View attachment 397459View attachment 397460
View attachment 409461 hiyo inahitajika 10.5 serious buyer PM IPO Arusha
Unahitaji subaru?subaru nzur sana