elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Kwa hiyo we unaona ni bei rahisi hiyo? Fanya research utajua ndiyo bei zake na kifaida chake juuHaha mkuu gari hii kwa bei hiyo? au ina tatizo?
Kwa hiyo we unaona ni bei rahisi hiyo? Fanya research utajua ndiyo bei zake na kifaida chake juuHaha mkuu gari hii kwa bei hiyo? au ina tatizo?
Habari Mugisha,
Premio ni Tshs 12,550,000/= with very low mileage., in a very good condition.
Kuhusu rav4, unahitaji ya milango mingapi.?!
Karibu.
Njoo inbobo Kama hujapataSubaru forester cross sport manual transmission. May have after market installations like the b.o.v etc naweza pata kwa sh. Ngap?
Check me Kama hujapataSubaru forester, ya kuanzia 2003-07 non turbo bei gani ikwa na hivyo vyote.?
Toyota Harrier 2000
Price : Tshs 16,900,000/=
(Bei imejumlisha ushuru, usajiri na kodi, kasoro bima ya barabani)
Habari yako,Naitaji Toyota Raum, old model ambayo IPO vizuri, my offer is 7M. Nakuja kuicheck na Fundi wangu.at least number C
Ninayo hayo used in Europe ila sijayasafurisha ninauza bei nzuri tu
View attachment 397451View attachment 397453View attachment 397454View attachment 397455View attachment 397456View attachment 397457View attachment 397458View attachment 397459View attachment 397460