hagau
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 425
- 1,432
Ameisha kimbia mkuu, atakuwa kamuamusha mwenzie sasa wako kwenye marumbano.Huyu apewe kampani mwekeni bussy na thread mtakua mmemwokoa sana bado masaa 3 nahisi anaweza asitoboe wanaume tunajijua na hs anamwona kalala.
Ila cha msingi alisha chapa cha kuletewa kabla hawajalala na ndo kitakuwa cha mwisho kwa huu muda wa karibuni hadi huu mgogoro upate suluhu.