Kwa mara ya kwanza tangu Uhuru, bajeti inakwenda kumkomboa Mtoto wa Masikini

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,496
37,789
Hii ni habari njema Kwa Wananchi wanyonge wa Tanzania. Baada ya pato la Kila mwananchi kuongezeka serikali imekuja na bajeti inayoinua maisha ya watoto wa masikini.

Mfano mzuri unaoonyesha bajeti hii imejali watoto ni kupandishwa Kodi ya taulo/nepi/dipers toka 25% hadi 35% Kwa watoto wa matajiri ila watoto wa masikini wanaofungwa Visepe (vipande vya kanga za zamani) hawaguswi na Kodi hii.
20230617_095554.jpg
 
Hii ni habari njema Kwa Wananchi wanyonge wa Tanzania. Baada ya pato la Kila mwananchi kuongezeka serikali imekuja na bajeti inayoinua maisha ya watoto wa masikini. Mfano mzuri unaoonyesha bajeti hii imejali watoto ni kupandishwa Kodi ya taulo/nepi/dipers toka 25% Hadi 35% Kwa watoto wa matajiri ila watoto wa masikini wanaofungwa Visepe (vipande vya kanga za zamani) hawaguswi na Kodi hii.View attachment 2660205
Duh.....pole sana
 
Pato la kila MTANZANIA limeongezeka wapi? Bwanah acheni kuzubaishwa na mkakubali mnashindwa kukataa huo uzushi, Pato la kila MTANZANIA limeongezeka wapi?
 
Hii ni habari njema Kwa Wananchi wanyonge wa Tanzania. Baada ya pato la Kila mwananchi kuongezeka serikali imekuja na bajeti inayoinua maisha ya watoto wa masikini. Mfano mzuri unaoonyesha bajeti hii imejali watoto ni kupandishwa Kodi ya taulo/nepi/dipers toka 25% Hadi 35% Kwa watoto wa matajiri ila watoto wa masikini wanaofungwa Visepe (vipande vya kanga za zamani) hawaguswi na Kodi hii.View attachment 2660205
Pole sana popoma

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
😂😂😂😂 propaganda za mwaka 1980 kipindi hicho watu tulikuwa hatuna elimu..sasa hivi tunajielewa ,tumekosa ujasiri tu tukipewa hilo..hawa jamaa wanaondoka
 
Hii ni habari njema Kwa Wananchi wanyonge wa Tanzania. Baada ya pato la Kila mwananchi kuongezeka serikali imekuja na bajeti inayoinua maisha ya watoto wa masikini.

Mfano mzuri unaoonyesha bajeti hii imejali watoto ni kupandishwa Kodi ya taulo/nepi/dipers toka 25% hadi 35% Kwa watoto wa matajiri ila watoto wa masikini wanaofungwa Visepe (vipande vya kanga za zamani) hawaguswi na Kodi hii.View attachment 2660205
Huu utaratib wa kumkomboa mtanzania na umasikini umeanza lini? Sidhan kweli nakwambia sidhan!!
 
Hii ni habari njema Kwa Wananchi wanyonge wa Tanzania. Baada ya pato la Kila mwananchi kuongezeka serikali imekuja na bajeti inayoinua maisha ya watoto wa masikini.

Mfano mzuri unaoonyesha bajeti hii imejali watoto ni kupandishwa Kodi ya taulo/nepi/dipers toka 25% hadi 35% Kwa watoto wa matajiri ila watoto wa masikini wanaofungwa Visepe (vipande vya kanga za zamani) hawaguswi na Kodi hii.View attachment 2660205


Tafuta ela, tafuta ela, tafuta ela

Huo ni wivu tu
 
Back
Top Bottom