umeyaona ya shekh PONDA tu!!ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1)www.wikipedia.com/tanzania
2)www.arc.com/tanzania
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????
Kwahyo wewe unaona nyumba inaungua afu wasambaza taarifa kwa watu jinsi nyumba inavyoungua..baada ya kutoa soulution jinsi ya kuuzima na umshauri mwenye nyumba nin cha kufaya...
ACHA UCHOCHEZI..
Watanzania msibishe element Zote za udini zimeanza kuchomoza katika taifa letu, JK hakwepi lawama za jambo hili ni lazima tusipotoshwe na magazeti uchwara Kama Sauti huru ambayo yanataka kutumia dini kuwaweka madarakani mabwana zao, wengi wetu wakrsto na waislam tumekaa pamoja siku zote bila tatizo Hawa wachache wanaotaka kutuvuruga tuwakatae hima.
Nina uhakika JK alimmissread mwalimu aliposema kuwa hafai ama hajakomaa,nadhani yeye aliona udini maana wafuasi wake ndo wenye kuueneza na kumponda mwalimu kujaribu kumchafua kabisa na kuwmondoa kwenye historia ya watanzania kwa yale mema aliyoyafanya.
Ama pengime mwalimu alijua kuwa huyu jamaa ni mdini?
Ccm wana utaratibu wa kusimamisha mkristo then muislam,hiyo ni agenda yao ambayo ni unofficial.Lakini bado tu kuna wana ccm wa ccm ya mwalimu kumbe walikuwa wanamsapoti kiunafiki tu.Hao ndo kina JK,mwalimu kafariki, sasa wanataka kumalizia kazi yao ya kulimaliza hili taifa moja kwa moja.
Mwalimu kumbe alifanya kazi kubwa kui preserve amani.Mana mwendawazimu akichukua nchi,ni balaa!
JK you will pay for this,na kwataarifa yako,anza kwa kukemea hata kama ni kwa unafiki wako,kwasababu taifal hili si la waislam peke yao wala wakristo peke yao,taifa hili ni la watanzania,na tunataka uikabidhi Tanzania kwa watanzania utakapoondoka madarakani,kinyume chake ni bora uandae alshabab kwa ulinzi wako mkuu!
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.
Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.
Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)
Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.
Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.
Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....
Utambuzi kwa dini unatumika wapi? Ukienda mitaaani ukauliza Ndugu Au Rafiki yako watakuuliza jina lake Kama wakishindwa kumfahamu watakuuliza Kabila lake Au wasifu wake kwa jinsi Mwenyezi Mungu alivyomuumba lakini hawaulizi dini gani. Sasa kipengele cha dini cha nini. Nilikwenda usukumani nikakuta mashindano ya ngoma ambayo mshindi Ni Yule ambaye ngoma Yake itakuwa imezungukwa na kuangaliwa na watazamani wengi kuliko mshindani wake. Sasa idadi ya watz kwa dini inatusaidia nini? Tunashindana ngoma?
mjadala hapa ni udini wa JK,miye sina shida na ndugu zangu waislam.Sasa hii ni double standard kuwahusisha wasiokuwa serikali ama vyama vya upinzani kuhusiana na kauli ya JK kuwa nyie waislam wenzake muhesabiwe.Lakini tunaoufahamu unafiki wa JK,yeye ndo kawatuma kina Ponda waeneze udini.Ni mnafiki sijapata kuona.
Nina amini akija huko misikitini anawambia yeye ni muislam mwenzenu mwenye kupigania haki zenu,alikuja kusema hayo wakati wa kampeni.
Na ndiyo maana aliposema muhesabiwe munalilaumu kanisa na chadema badala ya kumlaumu yeye aliyeitoa kauli hiyo,tayari mna udini!.
Nina uhakika yeye ndo aliyewalisha sumu wana ccm wenzake kuhusu hayo mambo ya Mou.Kama yeye ndo mkuu wa serikali inayolalamikiwa udini,lakini lawama hizo zinapelekwa kwa upinzania ambao hawajawahi hata kuongoza nchi,unategemea nani mdini hapo?
Amejificha kwenye kivuli cha unafiki,lakini mwanga wa JF ni mkali zaidi na kivuli hicho hakitamficha.
Itafika mahali atafute walinzi na wasaidizi waislam,na jeshi afungue kitengo cha jeshi la waislam kwasababu hakuna sababu ya kumlinda rais mdini ambaye hajali kuhusu maisha ya wananchi wa dini zote!
Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????