Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.
Mimi Bado ninaamini kuna watu tena wakubwa serikalini wapo nyuma ya hili pazia la udini..kuna uwongo mwingi sana unaenezwa kujenga chuki dhidi ya Watanzania.. e.g MOU sijui ni wapi watu waliona hiki kitu na kama JK analijua awaambie watu ukweli kuliko kuacha propoganda hizi zinazochochea chuki kwa wanajamii yetu.
Wanasiasa wasifikiri huu ni mtaji wa kisiasa kwao maana kama hawataangalia hili madhara yake ni makubwa sana na hayataishia kwa CUF na CDM pake yake..
 
Utambuzi kwa dini unatumika wapi? Ukienda mitaaani ukauliza Ndugu Au Rafiki yako watakuuliza jina lake Kama wakishindwa kumfahamu watakuuliza Kabila lake Au wasifu wake kwa jinsi Mwenyezi Mungu alivyomuumba lakini hawaulizi dini gani. Sasa kipengele cha dini cha nini. Nilikwenda usukumani nikakuta mashindano ya ngoma ambayo mshindi Ni Yule ambaye ngoma Yake itakuwa imezungukwa na kuangaliwa na watazamani wengi kuliko mshindani wake. Sasa idadi ya watz kwa dini inatusaidia nini? Tunashindana ngoma?
 
Kwahyo wewe unaona nyumba inaungua afu wasambaza taarifa kwa watu jinsi nyumba inavyoungua..baada ya kutoa soulution jinsi ya kuuzima na umshauri mwenye nyumba nin cha kufaya...

ACHA UCHOCHEZI..
 
umeyaona ya shekh PONDA tu!!ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1)www.wikipedia.com/tanzania
2)www.arc.com/tanzania
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????

Nyie wala hamna lolote manake kwanza hamjielewi.....sasa mbona kipengele hakijawekwa na mumehesabiwa?......yale mapovu yenu mlokuwa mnayatoa kama mmenyweshwa sabuni ya OMO yameishia wapi?
 
Nina uhakika JK alimmissread mwalimu aliposema kuwa hafai ama hajakomaa,nadhani yeye aliona udini maana wafuasi wake ndo wenye kuueneza na kumponda mwalimu kujaribu kumchafua kabisa na kuwmondoa kwenye historia ya watanzania kwa yale mema aliyoyafanya.

Ama pengime mwalimu alijua kuwa huyu jamaa ni mdini?

Ccm wana utaratibu wa kusimamisha mkristo then muislam,hiyo ni agenda yao ambayo ni unofficial.Lakini bado tu kuna wana ccm wa ccm ya mwalimu kumbe walikuwa wanamsapoti kiunafiki tu.Hao ndo kina JK,mwalimu kafariki, sasa wanataka kumalizia kazi yao ya kulimaliza hili taifa moja kwa moja.

Mwalimu kumbe alifanya kazi kubwa kui preserve amani.Mana mwendawazimu akichukua nchi,ni balaa!

JK you will pay for this,na kwataarifa yako,anza kwa kukemea hata kama ni kwa unafiki wako,kwasababu taifal hili si la waislam peke yao wala wakristo peke yao,taifa hili ni la watanzania,na tunataka uikabidhi Tanzania kwa watanzania utakapoondoka madarakani,kinyume chake ni bora uandae alshabab kwa ulinzi wako mkuu!
 
Watanzania msibishe element Zote za udini zimeanza kuchomoza katika taifa letu, JK hakwepi lawama za jambo hili ni lazima tusipotoshwe na magazeti uchwara Kama Sauti huru ambayo yanataka kutumia dini kuwaweka madarakani mabwana zao, wengi wetu wakrsto na waislam tumekaa pamoja siku zote bila tatizo Hawa wachache wanaotaka kutuvuruga tuwakatae hima.
 
Nani alikwambia jk huwa ana shaurika? Jaribu kufuatilia hotuba zake ndio utajua kiburi alicho nacho!

Kwahyo wewe unaona nyumba inaungua afu wasambaza taarifa kwa watu jinsi nyumba inavyoungua..baada ya kutoa soulution jinsi ya kuuzima na umshauri mwenye nyumba nin cha kufaya...

ACHA UCHOCHEZI..
 
Yani huyu jamaa sijui inalipeleka hili taifa wapi?
Yan hii laana hawezi kuikwepa!

Watanzania msibishe element Zote za udini zimeanza kuchomoza katika taifa letu, JK hakwepi lawama za jambo hili ni lazima tusipotoshwe na magazeti uchwara Kama Sauti huru ambayo yanataka kutumia dini kuwaweka madarakani mabwana zao, wengi wetu wakrsto na waislam tumekaa pamoja siku zote bila tatizo Hawa wachache wanaotaka kutuvuruga tuwakatae hima.
 
Kweli mwalimu alijua kabisa!
Huyu jamaa hakufaa kuwa rais hata chembe! Leo hii watu wanatupa madodoso kwa sababu ya hisia alizo wapandikiza.

Nina uhakika JK alimmissread mwalimu aliposema kuwa hafai ama hajakomaa,nadhani yeye aliona udini maana wafuasi wake ndo wenye kuueneza na kumponda mwalimu kujaribu kumchafua kabisa na kuwmondoa kwenye historia ya watanzania kwa yale mema aliyoyafanya.

Ama pengime mwalimu alijua kuwa huyu jamaa ni mdini?

Ccm wana utaratibu wa kusimamisha mkristo then muislam,hiyo ni agenda yao ambayo ni unofficial.Lakini bado tu kuna wana ccm wa ccm ya mwalimu kumbe walikuwa wanamsapoti kiunafiki tu.Hao ndo kina JK,mwalimu kafariki, sasa wanataka kumalizia kazi yao ya kulimaliza hili taifa moja kwa moja.

Mwalimu kumbe alifanya kazi kubwa kui preserve amani.Mana mwendawazimu akichukua nchi,ni balaa!

JK you will pay for this,na kwataarifa yako,anza kwa kukemea hata kama ni kwa unafiki wako,kwasababu taifal hili si la waislam peke yao wala wakristo peke yao,taifa hili ni la watanzania,na tunataka uikabidhi Tanzania kwa watanzania utakapoondoka madarakani,kinyume chake ni bora uandae alshabab kwa ulinzi wako mkuu!
 
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.

Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.

Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)

Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.

Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.

Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....

Wewe ndio mdini namba 1 utakuwa kwa sababu thread yako iko sehem 1 tu inaonyesha jinsi gani wewe ulivyo mdini
 
Unaweza ukawalaumu waislam lakini chanzo cha haya yote ni jk na propaganda zake!
Leo hii anajidai kuwashangaa!

Utambuzi kwa dini unatumika wapi? Ukienda mitaaani ukauliza Ndugu Au Rafiki yako watakuuliza jina lake Kama wakishindwa kumfahamu watakuuliza Kabila lake Au wasifu wake kwa jinsi Mwenyezi Mungu alivyomuumba lakini hawaulizi dini gani. Sasa kipengele cha dini cha nini. Nilikwenda usukumani nikakuta mashindano ya ngoma ambayo mshindi Ni Yule ambaye ngoma Yake itakuwa imezungukwa na kuangaliwa na watazamani wengi kuliko mshindani wake. Sasa idadi ya watz kwa dini inatusaidia nini? Tunashindana ngoma?
 
Nawashauri waislam ambao wamekerwa na takwimu hizo za mitandaoni wachague ijumaa moja na kufanya sensa yao misikitini na kwenye taasisi zote za kiislam kujua idadi yao kisha watapata idadi ya watu wa dini zingine kwa kutoa idadi yao kutoka kwenye idadi ile itakayotolewa na serikali kwa mujibu wa sensa ya sasa.

Kwangu haijalishi wailam au watu wa dini zingine ni wangapi bali cha muhimu ni kuzingatia haki ya kila mtu binafsi kuishi atakavyo,kwa mujibu wa sheria za nchi.Vita ikianza , ya kidini au ya kisiasa, wote ni waathilika huku wakubwa wakijificha ili wafe mwishoni, ikibidi.Nina ushahidi kwa hayo.
 
mjadala hapa ni udini wa JK,miye sina shida na ndugu zangu waislam.Sasa hii ni double standard kuwahusisha wasiokuwa serikali ama vyama vya upinzani kuhusiana na kauli ya JK kuwa nyie waislam wenzake muhesabiwe.Lakini tunaoufahamu unafiki wa JK,yeye ndo kawatuma kina Ponda waeneze udini.Ni mnafiki sijapata kuona.

Nina amini akija huko misikitini anawambia yeye ni muislam mwenzenu mwenye kupigania haki zenu,alikuja kusema hayo wakati wa kampeni.

Na ndiyo maana aliposema muhesabiwe munalilaumu kanisa na chadema badala ya kumlaumu yeye aliyeitoa kauli hiyo,tayari mna udini!.

Nina uhakika yeye ndo aliyewalisha sumu wana ccm wenzake kuhusu hayo mambo ya Mou.Kama yeye ndo mkuu wa serikali inayolalamikiwa udini,lakini lawama hizo zinapelekwa kwa upinzania ambao hawajawahi hata kuongoza nchi,unategemea nani mdini hapo?

Amejificha kwenye kivuli cha unafiki,lakini mwanga wa JF ni mkali zaidi na kivuli hicho hakitamficha.

Itafika mahali atafute walinzi na wasaidizi waislam,na jeshi afungue kitengo cha jeshi la waislam kwasababu hakuna sababu ya kumlinda rais mdini ambaye hajali kuhusu maisha ya wananchi wa dini zote!

Utafiti unaonesha kuwa wasaidizi wake wakuu wote ni wa dini yake na hata jeshini ni hivyo hivyo ;kitengo husika kinaongozwa na chief of Staff Shimbo[ mwenye matrilloni ya mapesa huko nje ya nchi; zilizokuwa S.Afrika pengine sasa zimehamishiwa Switzeland !!!]
 
Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania

web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????



Hhahahahaaaa! Mbavu zangu!!
Kwa hiyo Wikipedia ni RC?!! hahahahaaaa!!
Halafu hiyo link ya pili ni kiboko kweli, naona Processor tu hapo, nothing to do with any demography!! Hahahhahahaaaaaa! Naona umejikomboa kutoka ujingani...hahahahaha!
 
JK ni mdini,na asipokemea huu udini anaoueneza,tutampa muda!maybe siku 7?

Anyways,JK tutakupa huo muda ukemee huu udini hata kwa unafiki kwasababu tumejuwa unawatuma,basi waambie wasitishe huu udini!na usipofanya hivyo,tutawauliza wanaokulinda kama wanamlinda mtanzania na si mtu wa dini flani!kama ni raisi wa Tanzania analindwa,basi jeshi hilo,usalama huo wa Taifa na Polisi hao wawe wa Tanzania.
 
Hatuwalipi jeshi,usalama na polisi kumlinda rais wa dini moja.Kodi za watanzania zitaenda kumlinda rais wa watanzania na si vinginevyo!
 
jmushi1, kwanza inabidi tukubali kwamba tatizo lipo na kuweza kuliongelea hadharani.

Lakini ili kuweza kuliongelea lazima kuwe na vigezo au dalili za wazi kabisa za kuweza kuwa mfano ili watu waweze elewa. Tathmini ya waliogoma kuhesabiwa sensa na athari kwa zoezi zima inaweza kuwa mfano mzuri.

Lakini, nani aanze kumfunga paka kengele?? Sina uhakika kama kuna chombo cha habari kilichotayari kupoteza maslah yake kirahisi kwa ajili ya kuongelea hili.

Lakini, katika aina hii ya kampeni, si muafaka ikibebwa na chama cha kisiasa, hasa ambacho kimeshapewa nembo ya udini, itakuwa ngumu kukubalika.

Je, kama wananchi, ambao tuna dini zetu, kuna haja ya sisi kwa sisi kuandaa aina hii ya majadiliano na kuweka wazi nini vipaumbele vyetu kwa sasa??

Tukishirikiana dini zote, kumuumbua mchawi wetu tunaweza kupata pa kuanzia.

Tukisema tusubiri serikali ianze harakati kama hizi tutasubiri sana, maana yenyewe inafaidika kwa aina hii ya mgawanyiko (kupoteza lengo)

sasa, tuko tayari kuanza harakati?? Na nani mtu sahihi wa kuanza kuongelea?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom