Kwa mambo haya - JK ni Mdini!

Status
Not open for further replies.

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,989
22,521
Nchi ilipofikia,credits huwa anapewa rais na serikali yake,kwahili la udini,hakuna ubishi umeshaota mizizi.Na sijawahi kusikia kauli ama vitendo kutoka kwa JK vya kukemea haya mambo ya udini.

Kinachonifanya niamini ni JK,ni kwasababu hao wanaopinga kasi ya upinzani,wanapoijibia serikali ya ccm,basi wanaoonyesha chuki za wazi kabisa za kidini.Ule udugu tuliokuwa nao wakitanzania haupo tena,na sijui utarudi kwa njia gani.

Kuna habari kuwa hata mtu na mke wake wanataka kutoana roho kwasbabu hizo hizo.Sheick Ponda alipotoa kauli kinyume na yakwake kuhusu sensa,kaliachia na gazeti lenye kusambaza sumu hizo huku akilifungia lenye kusema ukweli(mwanahalisi)

Ninamini kabisa kuwa tulipofikia,uwezekano wa kuingia kwenye vurugu na mapigano ya kidini ni mkubwa kuliko wakati wowote ule kwenye historia ya Tz toka tupate uhuru.

Kama JK ni mdini,tufanyeje?Ni wazi anapenda haya yaendelee kuwepo kwasababu ni kama anauwa ndege wawili kwa jiwe moja,yani kwasababu yeye ni fisadi na mdini,basi issue za ufisadi wake anazifukia kwa kupenyeza sentiments za kidini kwasababu anajuwa the issue is extremely sensitive.

Je kama taifa tutapona dhidi ya udini huu wa JK?je kukitokea mapigano,nani atakuwa responsible?Je nini kifanyike kukomesha udin8I hu?ama tumeridhika?!....
 
Umeyaona ya shekh PONDA tu, ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1) www.wikipedia.com/tanzania
2) www.arc.com/tanzania

web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????
 
hakuna hasara kwa taifa kama kuwa na kiongozi wa juu asiye na msimamo wala hajui kwa nini yupo pale.

Wakati anajipanga kuingia madarakani alitumia sana mbinu ya udini, pamoja na nyingine na kufanikiwa kuingia.

Kama kawaida yake hakujua kama itafikia hapa, na hakuwa na njia mbadala ya kunusuru hali pindi mambo yataharibika.

Jukumu au wa kulaumiwa ni sisis watanzania tuliokubali kuingozwa na mtu asiye na uelewa na sisi kukubali kumpa nafasi ya kutugawa.

Mjinga akiwachonganisha werevu wawili, wa kulaumiwa si mjinga, bali ni wale werevu walioshindwa kujua lililo bora kwao.

Badala ya kutumia 'platform' kama hii kunyoosheana vidole, ingekuwa jambo la maana kama tukakubali tofauti zetu na kutafuta 'common ground' ambapo tunaweza kusonga mbele kama taifa moja lililowahi kuwa na wananchi wasiotambuana kwa dini kwa majina yao au kwa uwezo wao katika uongozi.
 
tutajipamba hapa kwa maneno, lakini ikitokea vita, tutakaoathirika hasa ni sie tusokuwa na uwezo wa kugharimia familia zetu kwenda kuishi nje.

Wao utakuta familia zote ziko nje.
 
umeyaona ya shekh PONDA tu!!ya maasikofu hujayaona kweli wewe huiwezi siasa!!Waislam wanahaki ya kudai kipengele cha dini ktk sensa.kwanini wadai tembelea web hizi upate reference
1)www.wikipedia.com/tanzania
2)www.arc.com/tanzania
web zote hzo zinatoa idadi ya watanzania kwa mujibu wa dini yao wakati tangu 1967 watanzania hatuja hesabiwa kwa mjibu,wa dini zetu.swali hawa WA RC Takwim hz wanazitoa wapi????
mjadala hapa ni udini wa JK,miye sina shida na ndugu zangu waislam.Sasa hii ni double standard kuwahusisha wasiokuwa serikali ama vyama vya upinzani kuhusiana na kauli ya JK kuwa nyie waislam wenzake muhesabiwe.Lakini tunaoufahamu unafiki wa JK,yeye ndo kawatuma kina Ponda waeneze udini.Ni mnafiki sijapata kuona.

Nina amini akija huko misikitini anawambia yeye ni muislam mwenzenu mwenye kupigania haki zenu,alikuja kusema hayo wakati wa kampeni.

Na ndiyo maana aliposema muhesabiwe munalilaumu kanisa na chadema badala ya kumlaumu yeye aliyeitoa kauli hiyo,tayari mna udini!.

Nina uhakika yeye ndo aliyewalisha sumu wana ccm wenzake kuhusu hayo mambo ya Mou.Kama yeye ndo mkuu wa serikali inayolalamikiwa udini,lakini lawama hizo zinapelekwa kwa upinzania ambao hawajawahi hata kuongoza nchi,unategemea nani mdini hapo?

Amejificha kwenye kivuli cha unafiki,lakini mwanga wa JF ni mkali zaidi na kivuli hicho hakitamficha.

Itafika mahali atafute walinzi na wasaidizi waislam,na jeshi afungue kitengo cha jeshi la waislam kwasababu hakuna sababu ya kumlinda rais mdini ambaye hajali kuhusu maisha ya wananchi wa dini zote!
 
Familia yetu ni ya wakristo na waislamu na tupo imara pamoja kama zamani. Kijiji chetu kina waumini wa dini zote mbili na bado tunazikana kama zamani. Sijui umeandika haya baada ya kufanya utafiti wa kiasi gani?
Mkuu tutajie hilo gazeti lenye kusambaza sumu hizo.
 
Dalili za udini zipo,tena zipo sana tu,ila sasa watanzania tunapaswa kuwa na akili za kuyachambua tuyaonayo na tuyasikiayo
 
Huyu jamaa huwa hajui anacho kifanya kabisa!

hakuna hasara kwa taifa kama kuwa na kiongozi wa juu asiye na msimamo wala hajui kwa nini yupo pale.

Wakati anajipanga kuingia madarakani alitumia sana mbinu ya udini, pamoja na nyingine na kufanikiwa kuingia.

Kama kawaida yake hakujua kama itafikia hapa, na hakuwa na njia mbadala ya kunusuru hali pindi mambo yataharibika.

Jukumu au wa kulaumiwa ni sisis watanzania tuliokubali kuingozwa na mtu asiye na uelewa na sisi kukubali kumpa nafasi ya kutugawa.

Mjinga akiwachonganisha werevu wawili, wa kulaumiwa si mjinga, bali ni wale werevu walioshindwa kujua lililo bora kwao.

Badala ya kutumia 'platform' kama hii kunyoosheana vidole, ingekuwa jambo la maana kama tukakubali tofauti zetu na kutafuta 'common ground' ambapo tunaweza kusonga mbele kama taifa moja lililowahi kuwa na wananchi wasiotambuana kwa dini kwa majina yao au kwa uwezo wao katika uongozi.
 
Kongosho,nimekupata sawia,umesema kuhusu finger pointing,je kama tumemgundua mtu mdini anayeharibu taifa letu unataka tufanyeje?kumbuka 2015 ni mbali sana kwa utaratibu huu sidhani kama tutafika salama.Kwasababu ni wazi uchu wa madaraka na kujikinga dhidi ya wananchi wanaopinga ufisadi.Kiongozi mkuu wa ccm na serikali anatumia dini ili apate supporters,kwasbabu hakna mtanzania bila kujali dini anayefurahishwa na ufisadi labda awe ananufaika nao.Wale wasionufaika,wamekamatwa kwa jina la uislam vs ukristo!tufanyeje kabla ya 2015 kama tuko serious? Ndo maana kwenye bandiko la kwanza nilimalizia kwa kusema "tufanyeje?ama ndo tumeridhika"?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani hata wana CCM wana kushangaaa unacho kinena!

Labda kama humjui rais anaye ongelewa!

Maneno yako kama ya watu wa zama za mawe

THE BEST PRESIDENT AMBAE HAJAWAHI TOKEA TANZANIA.Ukweli ndo huo.
 
Wakuu

Mimi mpaka sasa kuna kitu nashindwa kukielewa. Honestly speaking demages anazofanya Kikwete kiuchumi, kijamii na kisiasa ni kubwa kupindukia na zitakuwa na long term effects lakini inaoneka hakuna mtu hata mmoja (zaidi ya Mnyika na Ulimwengu) mwenye nguvu ya kumsema, kumkemea, au kumzuia.

Japokuwa kila mtu anaongelea suala la udini kiushabiki (kama simba na yanga) lakini hili suala ni suala nyeti mno na inashangaza jinsi ndugu Kikwete anavyozidi kulilea na kulikuza. unfortunately watu wengi hawaelewi unyeti wa jambo hili na wanaendeleza ushabiki.

kiuchumi na kisiasa ndi sijua hata niseme nini. I am speechless on the damages that this man has caused to our young Nation.

Hakika huyu mzee ni janga kuu la kisiasa nchini Tanzania. Aligombea urais kwaa ajili ya personal reasons na ametawala for personal gains only. Watanzania na mambo yao ya msingi is at the bottom of his concerns.
 
Familia yetu ni ya wakristo na waislamu na tupo imara pamoja kama zamani. Kijiji chetu kina waumini wa dini zote mbili na bado tunazikana kama zamani. Sijui umeandika haya baada ya kufanya utafiti wa kiasi gani?
Mkuu tutajie hilo gazeti lenye kusambaza sumu hizo.

Kwa jinsi hali ilivyo sasa huhtaji kushikwa mkono kuonyeshwa kinachoendelea, hukuwahi kusikia kuwa CUF kilikuwa chama cha waislamu, je hata sasa husikii kuwa CDM ni chama cha wakristo? hizo ni propaganda chafu sana zinazokusanya nguvu sasa mioyoni mwa watanzania, athari yake itakuwa kubwa sana, saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana, Tuombe Mungu atulinde. Wenye sera hzo za udini CCM. TAFAKARI.............chukua hatua...................vua gamba....
 
Soma vizuri alicho kiandika!

Familia yetu ni ya wakristo na waislamu na tupo imara pamoja kama zamani. Kijiji chetu kina waumini wa dini zote mbili na bado tunazikana kama zamani. Sijui umeandika haya baada ya kufanya utafiti wa kiasi gani?
Mkuu tutajie hilo gazeti lenye kusambaza sumu hizo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom