SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,703
- 60,825
Jee wewe ni mbilikimo wa akili?Hivi mzungu naye ni mbilikimo?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Jee wewe ni mbilikimo wa akili?Hivi mzungu naye ni mbilikimo?
Hahaha hapa tayari umeshapanic
Hapana sijapanic nimekuuliza swali tuHahaha hapa tayari umeshapanic
Chief punguza jazba 😂
Labda una tafsiri tofauti ya neno jazba. Hapo kuna jazba gani au swali nililokuuliza ni gumu sana?Chief punguza jazba
Ila fans wa simba mbululula sana, wakishindwa hoja wanakwenda kwenye personal.Labda Aziz amzidi Chama kwa lile domo kama chuchunge
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Fans wa Utopolo ndiyo mataahira kabisa kutwa kucha kuanisha thread za kuiponda Simba tu hakuna kingine wanachoweza pumbavu kabisa hii mijituIla fans wa simba mbululula sana, wakishindwa hoja wanakwenda kwenye personal.
Anayemlinganisha chama na aziz ki ni mashabiki wa yanga walianza na aucho sasa hivi wamekuja kwa chama shabiki wa simba amlinganishe chama na ufunguo kwa lipi au ile kisa kampiga shabalala tobo
Ni Joyce Lomalisa na sio1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda
Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.
Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Nyodo zenu hizi zitaishia round ya kwanza tu,najua hii ya awali mtawaonea sana wale waporipori na ndiyo itakuwa mwisho wenu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe ulitaka Denis nkane afanywaje?Huuu Ni ujinga kikos kizima kimejah wageni watupi kina Denis nkane watatoka lini kwa sas ujinga Sana mm Ni mwanannchi ila tutatoka hatua za Kwanza kbsa ktk michuano ya cafcl
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
sina mkuuHuna habari au?
Siyo ndoto kama wewe ni mhenga, historia inaonyesha Yanga 3 Simba 0 kipindi cha kwanza, Simba wakienda kwenye vyumba vya kubadilisha nguo huwa hawarudi uwanjani hata KARIA FC ANAJUA HIYO KUMBUKUMBUNi kweli Yanga Ina kikosi Bora na Cha ushindani historian haiibebi Yanga kimataifa ila kumfunga Simba bao 8 ni ndoto
Utopolo kazini.1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda
Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.
Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Yanga wajinga kweli, kwani kolo ni tusi? kolokolo matangazo ya pesa kwenye jezi, sasa ni tusi hilo? Kweli Manara aliwaburuza sana.Kolo ni kolo mkuu
Kwa hili mkuu uko sahihi hata mimi Nakuunga mkono. Viongozi wa simba hakika wanazingua kwenye usajili .1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda
Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.
Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Umepigwa pini ukirudi uheshimu binadamu wenzio. Ulianza kukashifu Uzeruzeru wa Manara wakakaa kimya, umerudi na maumbile ya Aziz Ki utafikiri ulihusika kwenye uumbaji wake? Weka picha ya mdomo wako tulinganishe!!Labda Aziz amzidi Chama kwa lile domo kama chuchunge
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Unawazungumzia Dickson Job , Djuma na kibwana ? Mbona hao ni wachezaji wa utopolo? Nahisi utakuwa umesahau.Eti team ya simba imejaa mbilikimo watupu
.Umepigwa pini ukirudi uheshimu binadamu wenzio. Ulianza kukashifu Uzeruzeru wa Manara wakakaa kimya, umerudi na maumbile ya Aziz Ki utafikiri ulihusika kwenye uumbaji wake? Weka picha ya mdomo wako tulinganishe!!