Kwa Kikosi hiki hatari cha Yanga SC, nisiwe mnafiki Simba SC tuna kazi na nawaona Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu na watafika mbali CAFCL

Anayemlinganisha chama na aziz ki ni mashabiki wa yanga walianza na aucho sasa hivi wamekuja kwa chama shabiki wa simba amlinganishe chama na ufunguo kwa lipi au ile kisa kampiga shabalala tobo
Huyu Mbumbumbu mwenzako yako ni Yanga?
 
1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda

Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.

Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Ni Joyce Lomalisa na sio
Lomalisa Mutambala
 
Huuu Ni ujinga kikos kizima kimejah wageni watupi kina Denis nkane watatoka lini kwa sas ujinga Sana mm Ni mwanannchi ila tutatoka hatua za Kwanza kbsa ktk michuano ya cafcl

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wewe ulitaka Denis nkane afanywaje?
Unajua kuwa wachezaji mpira wanazidiana quality?
Quality ya wazawa unaowataka inigana na hao wageni?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli Yanga Ina kikosi Bora na Cha ushindani historian haiibebi Yanga kimataifa ila kumfunga Simba bao 8 ni ndoto
Siyo ndoto kama wewe ni mhenga, historia inaonyesha Yanga 3 Simba 0 kipindi cha kwanza, Simba wakienda kwenye vyumba vya kubadilisha nguo huwa hawarudi uwanjani hata KARIA FC ANAJUA HIYO KUMBUKUMBU
 
1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda

Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.

Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Utopolo kazini.
 
1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda

Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.

Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Kwa hili mkuu uko sahihi hata mimi Nakuunga mkono. Viongozi wa simba hakika wanazingua kwenye usajili .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Umepigwa pini ukirudi uheshimu binadamu wenzio. Ulianza kukashifu Uzeruzeru wa Manara wakakaa kimya, umerudi na maumbile ya Aziz Ki utafikiri ulihusika kwenye uumbaji wake? Weka picha ya mdomo wako tulinganishe!!
.
 

Attachments

  • 1660113463286.jpg
    1660113463286.jpg
    10.2 KB · Views: 3

Similar Discussions

Back
Top Bottom