Hujafa hujaumbika.Huyu mgonjwa wenu? Mtibieni basiView attachment 2342974
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Lakini sisi tuna Mzungu wao hawana...!1. Djigui Diara
2. Djuma Shaaban
3. Lomalisa Mutambala
4. Dickson Job
5. Yannick Bangala
6. Khalid Aucho
7. Bernard Morisson
8. Feisal Salum Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. Stephan Fundi Aziz K
11. Tuisila Kisinda
Najua wana Simba SC Wenzangu hapa Jamiiforums mtanitukana sana leo ila Yanga SC Wamesajili Kimashindano na Kimkakati huku Simba SC tukiwa tumesajili Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji.
Kazi tunayo tarehe 23 Oktoba, 2022 kwa Mkapa na naziona kama Goli 7 au 8 za Kufungwa kwa Kikosi chetu kilichojaa Mbilikimo ( Emolo ) Watupu.
Mbona uwa unamfananisha aziz ki mwenye miezi 2 na chama mwenye miaka 4 hapa TZUjinga sana huu kocha ana miezi miwili unamfananisha na kocha aliyekaa na wachezaji miaka miwili kweli tumelaaniwa waafrika Manchester United wanatengeneza team mwaka wa tano huu hawana hata dalili ya kuchukua ubingwa msimu ila simba kukosa ubingwa mara moja na kufungwa juzi mamluki wameshaanza kujitokeza na kuongea shombo.
Kiukweli zama za Simba zimepita, hakuna pesa! GSM amerudi kwa kasi baada ya awamu ya tano kupita.Lakini sisi tuna Mzungu wao hawana...!
Lakini haohao ndio waliowakung'uta MAKOLOUnawazungumzia Dickson Job , Djuma na kibwana ? Mbona hao ni wachezaji wa utopolo? Nahisi utakuwa umesahau.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app