FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Naona unatafuta publicity.......Nyie kwa kauli za kifedhuli ndio maana TZ iko hv hadi leo.
Mkijidai siasa zenu ni za "upiganaji" mnategemea mpigane na nani?
Naona unatafuta publicity.......Nyie kwa kauli za kifedhuli ndio maana TZ iko hv hadi leo.
unaongea kama nani?wewe na nani?nchi siyo ya kwenu pekee,taratibu na kauli zenu!kama ni amani ya mafisadi nina uhakika machalii wa A town watakua tayari kuiharibu endeleeni na chokochoko tu.taratiiiiiiiiiiiiiibu watanzania washaanza kuzoea suluba with time watasema basi kitakachofuata ni kibaya kuliko kile kilichotokea libya.
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
hivi ccm ni namba li one kwa lipi...Mkijidai siasa zenu ni za "upiganaji" mnategemea mpigane na nani?
<br />Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.<br />
<br />
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.<br />
<br />
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
goooooooooood........bora
vita vinavyo tafuta
haki kuliko amani
inayo dhalilisha utu
wa mwanadamu amka
mtanzania
<br />Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
<br />Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.