Kwa hili wapinzani wawe na shukrani sana, awamu ya 5 isingewezekana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Kwa kweli sasa maisha yamekuwa mazuri na mama amefungua sana Ikulu na Nchi ujumla.

Natembea barabarani na mwona na Mbowe naye kwenye mabango. Hii isingewezekana awamu ya Tano. Mbowe ashukuru sana. Sasa atulie tu ale taratibu. Mama ana huruma hawa jamaa walipata mateso sana na shida wakati ule.

Sasa wana nawiri na wanafuraha hata wao wanabandikwa kwenye mabango. Haya mambo yaacheni nyie sikieni tu kwa watu. Magufuli alikuwa hataki kabisa kukaa nao chini kuangalia nao wata survive vipi ukaidi na ujeuri ndo ulikuwa wake. Na ndo maana tulimpinga sana.

Sasa maisha ya wapinzani safi kabisa. Zitto sijui alihamia wapi. Simsikii. Mbowe kwenye ile kesi ya kubambikiwa alitoka kweli? Mbona naye hasisikiki tena? Amenyamaa.

Lema kule kwenye nanii ya Maria Sarungi simwoni tena akichangia na kukosoa. Amenyamaza. Wamemwacha dada wa watu peke yake. Maana sasa hamna cha kukosoa mama amerekebisha kila kitu. Maisha yamekuwa safi na hakuna tena misukosuko kwa wanasiasa
 
Kwa kweli sasa maisha yamekuwa mazuri na mama amefungua sana Ikulu na Nchi ujumla.

Natembea barabarani na mwona na Mbowe naye kwenye mabango. Hii isingewezekana awamu ya Tano. Mbowe ashukuru sana. Sasa atulie tu ale taratibu. Mama ana huruma hawa jamaa walipata mateso sana na shida wakati ule.

Sasa wana nawiri na wanafuraha hata wao wanabandikwa kwenye mabango. Haya mambo yaacheni nyie sikieni tu kwa watu. Magufuli alikuwa hataki kabisa kukaa nao chini kuangalia nao wata survive vipi ukaidi na ujeuri ndo ulikuwa wake. Na ndo maana tulimpinga sana.

Sasa maisha ya wapinzani safi kabisa. Zitto sijui alihamia wapi. Simsikii. Mbowe kwenye ile kesi ya kubambikiwa alitoka kweli? Mbona naye hasisikiki tena? Amenyamaa.

Lema kule kwenye nanii ya Maria Sarungi simwoni tena akichangia na kukosoa. Amenyamaza. Wamemwacha dada wa watu peke yake. Maana sasa hamna cha kukosoa mama amerekebisha kila kitu. Maisha yamekuwa safi na hakuna tena misukosuko kwa wanasiasa
Naunga mkono hoja
P
 
Hamna ugomvi naye nyinyi aliyewapa asali maana hicho ndio mlitaka,

Tumebaki sisi wananchi tunaugulia maumivu ya mifumuko ya bei kila kukicha.
Nanyi mlivimbiwa na asali kipindi cha mwendawazimu wa Kihutu hivyo kaeni kwa kutulia, nchi imerudi kwenye mikono salama na Utanzania wa kuishi kindugu hata kama mnatofautiana mitazamo umerudi kama ilivyo desturi yetu.
 
Nanyi mlivimbiwa na asali kipindi cha mwendawazimu wa Kihutu hivyo kaeni kwa kutulia, nchi imerudi kwenye mikono salama na Utanzania wa kuishi kindugu hata kama mnatofautiana mitazamo umerudi kama ilivyo desturi yetu.
Hakuna undugu kati ya fisadi/mwizi na mwananchi wa kawaida

Huo udugu ungekuepo mchele tungenunua 1000, sabuni 1500 kama enzi za kiboko yenu.
 
Hakuna undugu kati ya fisadi/mwizi na mwananchi wa kawaida

Huo udugu ungekuepo mchele tungenunua 1000, sabuni 1500 kama enzi za kiboko yenu.

Kiboko yenu na Nani? Kiboko yenu analiwa na mchwa na kupambana na kina been saanane aliowaua. Yule alikuwa muuaji sio Rais.
 
Hamna ugomvi naye nyinyi aliyewapa asali maana hicho ndio mlitaka,

Tumebaki sisi wananchi tunaugulia maumivu ya mifumuko ya bei kila kukicha.

Mbona kipindi Cha JPM Maisha yalikuwa magumu ajira hakuna , umesahahu kipindi Cha JPM Dodoma watu walikula viwavi jeshi?
 
Back
Top Bottom