yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
dah mazee ile nyomi niliyoikuta pale msimbaz centre ktk interview ya access bank ni kiashilio tosha kwamba vijana tumeshikwa pabaya kwa hili sakata la ajira.watu ni zaidi ya miatatu na wanaohitajika ni 30 tu.nadhan hata waajiri hapa wanapata tabu sana ktk kusort.vijana wenye kazi tusichezee jaman.hali ni mbaya!!!