commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Ndugu wanabodi JF,
Nianze kwa kuomba radhi kama kuna mtu ambaye kwa mchango wangu huu nitakuwa nimemkwaza kwa namna moja au nyingine.
Huyu Rage aliwahi kukutwa na hatia ya kukwapua fedha katika iliyokuwa FAT,na alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela,
Ni huyuhuyu Rage aliyevunja sheria za uchaguzi kwa kupanda jukwaani na bastola kule igunga,na ikawa moja ya sababu mojawapo iliyosababisha chama chao kuenguliwa matokeo ya uchaguzi na hivyo kupoteza jimbo kwa amri halali ya mahakama.
Huko katika kilabu cha mpira simba sports club ambako yeye ndiye kiti, nako ni bwana haambiliki na matokeo yake ni kama tunavyoona na kusikia katika media mbalimbali nchini, kwamba klabu ina migogoro kila siku na haifanyi vizuri.
*Funga kazi ni hivi juzi ambapo akiwa dodoma kwa shughuli za kibunge ameshirikiana na viongozi wenzake wa CCM na kwenda kun'goa bendera kwenye tawi la CDM na yeye rage kuuvunja mti uliokuwa unatumika kupeperusha bendera na kuutumia kumpigia kiongozi na mwana harakati wa CDM (ushahidi wa picha za tukio ziliwekwa humu jamvini bila kificho).
*my take: ni kwamba huyu jamaa kapoteza na hajawahi kuwa na sifa ya kuwa kiongozi wa ngazi ya ubunge kama si tabia ya wana ccm kupoteza maadilili ya uongozi na hivyo kutuchagulia watu wa aina ya Rage na wengineo wengi waliojaa humo CCM,
Inaudhi na kutia aibu kuwa na viongozi wa aina ya rage na kuanzia sasa mimi kwangu namuita muishiwa Rage.View attachment 82553
Nianze kwa kuomba radhi kama kuna mtu ambaye kwa mchango wangu huu nitakuwa nimemkwaza kwa namna moja au nyingine.
Huyu Rage aliwahi kukutwa na hatia ya kukwapua fedha katika iliyokuwa FAT,na alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela,
Ni huyuhuyu Rage aliyevunja sheria za uchaguzi kwa kupanda jukwaani na bastola kule igunga,na ikawa moja ya sababu mojawapo iliyosababisha chama chao kuenguliwa matokeo ya uchaguzi na hivyo kupoteza jimbo kwa amri halali ya mahakama.
Huko katika kilabu cha mpira simba sports club ambako yeye ndiye kiti, nako ni bwana haambiliki na matokeo yake ni kama tunavyoona na kusikia katika media mbalimbali nchini, kwamba klabu ina migogoro kila siku na haifanyi vizuri.
*Funga kazi ni hivi juzi ambapo akiwa dodoma kwa shughuli za kibunge ameshirikiana na viongozi wenzake wa CCM na kwenda kun'goa bendera kwenye tawi la CDM na yeye rage kuuvunja mti uliokuwa unatumika kupeperusha bendera na kuutumia kumpigia kiongozi na mwana harakati wa CDM (ushahidi wa picha za tukio ziliwekwa humu jamvini bila kificho).
*my take: ni kwamba huyu jamaa kapoteza na hajawahi kuwa na sifa ya kuwa kiongozi wa ngazi ya ubunge kama si tabia ya wana ccm kupoteza maadilili ya uongozi na hivyo kutuchagulia watu wa aina ya Rage na wengineo wengi waliojaa humo CCM,
Inaudhi na kutia aibu kuwa na viongozi wa aina ya rage na kuanzia sasa mimi kwangu namuita muishiwa Rage.View attachment 82553