Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 100
Kwa nini tunalala?
1. Kwa kuwa ni usiku?
2. Kwa kuwa tumechoka/tunausingizi?
3. Kwa kuwa wengine wanalala pia?
4. Kwa kuwa wenzi wetu/familia wanatutaka/kutufanya tulale?
5. Kwa kuwa hatupendi kutembea usiku?
6. Kwa kuwa tuna vitanda? (tunavitumia kihalali)
7. Kwa kuwa usiku kuna baridi kuliko mchana?
8. Kwa kuwa mchana ulifanya kazi?
Jamani great thinkers tujiulize kiundani tunalala kwa sababu gani?
Wewe uliesoma huwa unalala kwa sababu gani! Tueleze!
S.H
1. Kwa kuwa ni usiku?
2. Kwa kuwa tumechoka/tunausingizi?
3. Kwa kuwa wengine wanalala pia?
4. Kwa kuwa wenzi wetu/familia wanatutaka/kutufanya tulale?
5. Kwa kuwa hatupendi kutembea usiku?
6. Kwa kuwa tuna vitanda? (tunavitumia kihalali)
7. Kwa kuwa usiku kuna baridi kuliko mchana?
8. Kwa kuwa mchana ulifanya kazi?
Jamani great thinkers tujiulize kiundani tunalala kwa sababu gani?
Wewe uliesoma huwa unalala kwa sababu gani! Tueleze!
S.H