Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
hujambo weye mtoto?
sijambo weye mkubwa.how was your day?
hujambo weye mtoto?
Mie ni Bibi, lakini ni heshima kubwa kuitwa dada, mama , anti au bibi, kwa marw nyingine tena nakutakia kila la kheri katika masomo yako, chunga vishawishi, jiepushe na mapenzi ukiwa masomoni, huwa yanapoteza sana muda wa kusoma.
Yote utayakuta ukimaliza kusoma na ukiwa na profession yako, tena hapo hautoyatafuta, yatakutafuta.
basi tanesco itakufaa.All the best
TANESCO kwani mimi ni fundi umeme?
basi kasomee unachosomea.na utapata kazi nzuri kwa ulichosomea.
Sina mpango wa kuajiriwa nina mpango wa kujiajiri mwenyewe
gud take care
basi vizuriii your name tells it all.All the best once again
mimi niligraduate enzi zile hi5 imepamba moto, na facebook ndo inaanza anza, lakini nilikuwemo tu. tena darhotwire nayo ilikuwa moto wa kuotea mbali kwa kuchat chat. lakini tumemaliza salama pamoja na kusurf muda mrefu. usiogope young mister, shuel unapiga na jamii forum unapiga, cha msingi achana na facebook tu