Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Aaaaaaaaaaaa Bazazi hufanani hiyo reasoning uliyoitoa hapo labda kama ulikuwa unatania.
Shida yangu ilikuwa kuwataka wanawake wa Tanzania kupigania UWT wapiganie kubadili jina hilo liwe UWCCM kwani hoja yako kwa baadhi ya watu hawataielewa kwani hawajui kama umoja huo ni wa CCM.
Ilikuwa hoja ya uchokonozi tu mwaJ.
BAzazi!
Last edited by a moderator: