Kwa CV hii kuna pointi kweli huko Arumeru

Ukweli ni kwamba uongozi ni kipaji cha Mtu Elimu ni jambo la kusaidia tu na ndo maana ktk katiba mama (feki) tunaambiwa mbunge awe na uwezo wa kusoma na kuandika na awe na akili timamu basi na wala siyo Shahada kama hii yangu au yako wewe unaye semea uwenye kt wa kitogoji na shaka niliyo nayo mm ni kwamba huna nidhamu ndo maana hujapewa na majirani zako

Hayati Mwl. JK. Nyerere aliwahi kuandika hivi:

''to familialize is to find the facts, going to school only helps us, though we can not go to school but we may familialise''
 
elimu ni muhimu,nchi hii inaibiwa kwa kalamu.mikataba bila elimu utaelewa nn? Lakini elimu inampa mtu ujasiri wa kuingia popote na kumuoji yeyote.zama hizi si za kuongozwa kwa uzoefu,waende shule,mbona mrema amesoma juzi hapa.v.nyerere,f.mbowe,G.lema na wezake.waende shule itaongeza uwezo wao
 
hao ndo cdm hakuna rsources kabisa zaidi ya slaa,zito,mnyika,mdee,lissu, ukirudi kule kwa kina sugu ndo hakuna kitu kabisa mi nazan nw ni wakati wa kujipanga ni namna gani wanabuild skills for the future cz hawawezi kuongoza nchi kwa kuwa na wazir kama sugu au huyo nyerere antegemea hilo jina ndo limtoe bt uwezo hana yule jamaa tuwe wa kweli kuna majembe cdm bt bado hayatoshi kwa mapapmbano mpango wao wa kufika vyuo vikuu uendelee kwa kasi cz nw naona wamelala cjui wamelewa na sifa zipi
 
katila wapuuzi wewe ni wa kwanza natangulia mimi kutoa matusi, mbona hata baba yenu Mkapa alitoa matusi hadharani wakati ni Rais Mstaafu? ulimbukeni wa ki ccm huo unakusumbua afu wewe sijakosea umesoma A. Level ile ya shule za kata au sio? baadae bwana mjuaji.
 
Inabidi tuangalie vitu tunaweka huku... Uongozi ni karama na hekima. Sikatai elimu ni muhimu lakini siyo kipaumbele kikubwa sana..
 
mzee elimu ni vyeti au uelewa.

unaweza ukanipa elimu ya zuma

kwa dunia ya sasa asikudanganye mtu elimu ni kila kitu .... namshauri ajiendeleze form 4 haitoshi hata kama alifeli kuna QT
 
Mkulu, watu wanataka pointi au maendeleo ..?
wamfahamu Wiston Churchill? ....na historia ya elimu yake versus aliyofanya kwa taifa lake..
 


Imagine mtu anasoma primary schools tatu tofauti! Maana yake ameanza kufeli toka huko!!
Kumbe ndio maana hata argument yake against Mkapa ilikuwa poor sana!
Jamani tupelekeni wenetu shule!

mkuu ndio maana kwenye ile thread niliandika haya maneno pro CDM wakanivamia as usual

Vicent Nyerere = Steve Nyerere

wote wanatumia jina la nyerere kujipatia Rizki !!
kambarage Nyerere (RIP) ni Bin adamu alitaka asife ...??!
Nadhani aende akaulize nini maana ya leukemia ..? na inachukuwa muda gani kumuondoa mtu duniani ... naona anaropoka vitu asivyovijua!



Baada ya kuona hii CV kwa elimu yake hawezi kujua nini maana ya LEUKEMIA ... simlaumu ila apunguze kuropoka wasiokuwa na elimu zao kina maji marefu wapo kimyaa...
 
mzee elimu ni vyeti au uelewa.

unaweza ukanipa elimu ya zuma
Thanks.... amesahau kuwa tuna prof Kapuya, Dr. Shukuru kawambwa, Dr. Mponda, wote hao ni sawa na darasa la saba la shule za kata
 
hao ndo cdm hakuna rsources kabisa zaidi ya slaa,zito,mnyika,mdee,lissu, ukirudi kule kwa kina sugu ndo hakuna kitu kabisa mi nazan nw ni wakati wa kujipanga ni namna gani wanabuild skills for the future cz hawawezi kuongoza nchi kwa kuwa na wazir kama sugu au huyo nyerere antegemea hilo jina ndo limtoe bt uwezo hana yule jamaa tuwe wa kweli kuna majembe cdm bt bado hayatoshi kwa mapapmbano mpango wao wa kufika vyuo vikuu uendelee kwa kasi cz nw naona wamelala cjui wamelewa na sifa zipi

Mkulu

Kwa kutunza heshima wakati mwingine kama huna taarifa fulani au hujui kitu ni busara ukakaa kimya..... kuliko kuonesha ujinga wako hadharani...siyo lazima uchangie mada humu wewe soma tu...JF ni kisima cha maarifa...
 
Mlanja,
Nakubaliana na hoja yako ni kweli njia ulizozitaja ni sahihi kabisa; ila kwenye hili la viwango vya elimu ya wabunge sikubaliani nawe; ukiachia jazba za kisiasa ndani ya bunge; wabunge hawana uwezo wa kufanya uchambuzi yakinifu wa bajeti za wizara na ndiyo sababu kubwa bajeti zinapita kwa kuburuzwa tu, na ni lazima ukumbuke maamuzi ya bunge yanaathiri watanzania wote; hivi mbunge darasa la saba au kidato cha nne ana uwezo wa kuchambua bajeti ya wizara na afya elimu? Kuna mambo mengi ya kiufundi kwenye uchambuzi wa bajeti, ipo haja katiba mpya kuliangalia hili; suala la ubadhirifu wa mali ya umma ni utashi wa mtu binafsi halihusiani na mtu amesoma wapi.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Huyo Vicent anaonekana ni mtu wa matusi tupu kwa sababu CV yake tu inaonyesha amesoma shule tatu (3) msingi ambazo zote zipo hapo hapo Musoma Mjini inaonekana hana nidhamu.

Je, ukisoma shule tatu za msingi eneo moja unakuwa huna nidhamu na kutoa matusi tu? Sio kwamba unakoamia wanakuwa na taarifa zako kutokana na ujirani na hivyo ni bora kwenda shule ya mbali?!!
 
Jamani tuwe wakweli tuache mwaswala ya u-PRO kisa kazungumziwa mbunge wa CDM ndo tuikane hata elimu kuwa haina umuhimu.
Kuna mbunge gani mwenye elimu ya atmost form 4 ulishamuona anachangia Muswada wa sheria (ukiacha ule wa Katiba ) kama hamna ujiulize kwa nini!!?
Hivi tutegemee mtu ka V. Nyerere, Majimarefu, Livingstone nk. wakiwa kwenye kamati zao wanauwezo wa kumuhoji effectively mkurugenzi yeyote wa taasisi?!
Ubunge sio tu kuwakilisha jimbo ni pamoja na kuisimamia serikali, jaribu kuangalia michango yao ni mara chache sana kukuta watu wa 'dizaini' hii kuzungumzia issue za kitaifa zaidi ya mambo ya majimboni mwao.
Hivi unategemea watu kama hao wanaweza kutoa michango ya kitaifa yenye akili ka yakina Zitto, Mnyika, Mdee, JMakamba, Cheyo, Machali?
 
kimsingi labda aliesoma nje ya nchi hii from std 1 mpaka chuo ndie anapaswa kujida sio hii ya kibongo ya kukariri vifaa vya elimu bora hamna labda kwa baadhi ya shule ambozo pia ni matajiri wanaiweza ada.so ndugu kuwa na digrii ni sawa na mtu mwenye afya 2 siyo ishu sana kwenye kuongo watu wa mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom