Kwa CV hii kuna pointi kweli huko Arumeru

viongozi wenu wasomi ndiyo walio saini mikataba feki.wezi wakubwa.sasa ubunge unahitaji sifa gani kikatiba.ma prof walioko bungeni unadhani wanatumia elimu yao hata chembe? siasa wizi tu

siasa si wizi.
politics is game in town, siasa ni nguvu ya ushawishi, siasa ni majadiliano na muafaka, siasa yaweza kuwa safi au chafu kutokana na waitumiao. siasa si mchezo mchafu siasa ni mchezo wa wajanja wajuao nini cha kufanya kushinda pande nyingine.
weye wajua kuwa kuna siasa za aina nyingi? unajua kuwa hata kutongozana ni siasa ya aina yake? au ume base katika state politics tu?
siasa ndio chanzo cha maendeleo au machafuko au umaskini hii inatokana na nature ya wanasiasa wa sehemu husika elimu walizonazo raia wa hiyo sehemu na mambo mengine mengi.
nilikuwa najaribu tu kukusaidia kutoichukia siasa.
 
hapo ndo wanaccm mnajidanganya, elimu ya makaratasi ndo maana kila mtu magamba anajiita Dr ili aaminike, kumbe hawana hata uelwewa wa walichosomea, kukariri tu na kudesa, bora hao wasiokuwa na hiyo elimu ya class na wamesonga mbele, kina newton elimu yao itaje hapa, steve jobs taja hapa elimu yake, bill gates, mzee karume, mwal nyerere (alipoanza siasa) ila wote hawa ni visionaries , na wenye vipaji, na sio elimu imewabeba, wengine walidrop elimu dunia kwa kuona haiwasaidii, sasa hawa magamba kwa 50yrs hatuna hata vita zaidi ya vya anchali na anchori kuibiana ngombe, tupo number 3 from top of beggers in the world. Hao ma "Dr" wametufanyia nini? bora hao wasiokuwa na elimu mbovu hiyo but wana vision watawatumia wasomi waliopo CDM ili nchi iendeleze nchi, na huo ndo ujanja, hauhitaji phd kutambua unaibiwa rasilimali zako, au kumuwajibisha waziri au kiongozi mwizi! nchi hii inahitaji mtu asienda skuli dikteta kunyoosha mambo basic.
 
hapo ndo wanaccm mnajidanganya, elimu ya makaratasi ndo maana kila mtu magamba anajiita Dr ili aaminike, kumbe hawana hata uelwewa wa walichosomea, kukariri tu na kudesa, bora hao wasiokuwa na hiyo elimu ya class na wamesonga mbele, kina newton elimu yao itaje hapa, steve jobs taja hapa elimu yake, bill gates, mzee karume, mwal nyerere (alipoanza siasa) ila wote hawa ni visionaries , na wenye vipaji, na sio elimu imewabeba, wengine walidrop elimu dunia kwa kuona haiwasaidii, sasa hawa magamba kwa 50yrs hatuna hata vita zaidi ya vya anchali na anchori kuibiana ngombe, tupo number 3 from top of beggers in the world. Hao ma "Dr" wametufanyia nini? bora hao wasiokuwa na elimu mbovu hiyo but wana vision watawatumia wasomi waliopo CDM ili nchi iendeleze nchi, na huo ndo ujanja, hauhitaji phd kutambua unaibiwa rasilimali zako, au kumuwajibisha waziri au kiongozi mwizi! nchi hii inahitaji mtu asienda skuli dikteta kunyoosha mambo basic.

upo sahihi kuwa tunahitaji dikteta ila tunamuhitaji dikteta mwenye elimu sio kuuwa watu ovyo bali kuja sera na mikakati yenye maana na kuisimamia bila mchezo undugu ushoga ujamaa urafiki wala ujirani. si kila dikteta anafaa.
 
Mie naona CV siyo issue kwenye uongozi, vinginevyo ma-Professor wote ndo wangekuwa kwenye ngazi nyeti za uongozi. Lakini tunapigana nao vikumbo mitaani wakati "Parliament" imejaa vilaza kibao, acha huyu dogo naye "atese" kwa zamu yake.
 
Kwa kifupi elimu za wabunge wetu wengi ndo hizo. Hata speaker wenu ana high school tu, na kuna mpaka standard seven---mwenye muda ajaribu kupitia ya kila mmoja mmoja ataona hayo madudu. Vicent ana form IV hamuoni kwamba yuko juu kabisa ukilinganisha na Lusinde mwenye primary tu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom