Nani anaichagua ccm wewe kama sio mipango?Dira ya CCM wanaijua wenye akili wanaoichagua na si ninyi mnaochagua mawe kuwawakilisha
ccm hakina dira ndio maana kimepata kata 1 kat ya kata 43 za uchaguz wa madiwani...mkuu hii ni reflection tosha..kwa yaliyotokea kwenye huu uchaguz..2020 tusilaumianeCcm kina dira gani? Toka tupate uhuru wanahangaika na maji tu zimo kweli wewe?
Ukikuta raisi anatangaza kuna watu wanakuja toka upinzani ujue tayar ccm hakina nguvu tena anafurahia kupokea watu toka chama cha upinzani ambacho hakina hata dora wala pesa? Hayo mambo yalitakiwa kufanywa na vyama vya upinzani kutafuta wanachama na kushangilia sasa story imegeuka chama kikuu kina wafurahia wakina msando na mtulia.hahahahahaaaaaa
Bondia nafurahia ushindi alioupata kwa kupigana na mwenzie aliefungwa kamba mikono tz bana nchi ya ajabu sana hata watu wake kenyata hakukosea aliposema jamaa flan anaongoza maiti.ccm hakina dira ndio maana kimepata kata 1 kat ya kata 43 za uchaguz wa madiwani...mkuu hii ni reflection tosha..kwa yaliyotokea kwenye huu uchaguz..2020 tusilaumiane
Akili za matakoni hizi,sijui hizi mbwembwe mtazionesha wapi CHADEMA ikifaWananci wameukataa upinzani. Imani yao ipo kwa CCM
Uchambuzi mwanana kabisa lkn nyumbu hawataelewa.Wadau, amani iwe kwenu.
Uhai wa chama unachangiwa kwa kiwango kikubwa na uwepo wa rasilimali hususan fedha. Bila fedha ni vigumu kuendesha taasisi pana kama chama cha siasa. Chanzo kikubwa cha mapato kwa vyama vyenye wabunge ni ruzuku. Kwa sasa, CHADEMA kinapata zaidi ya milioni 600 kwa mwezi kama ruzuku kutokana na idadi ya wabunge ilionao Bungeni. Fedha hizi ndizo kwa kiwango kikubwa zinatumika kugharamia shughuli za chama Makao Makuu, Kanda na kwenye mashina japo fedha hizo hazijawahi kupelekwa.
2020 tutakuwa na uchaguzi Mkuu ukitanguliwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019. Uchaguzi Mkuu ndio unaotoa mwelekeo wa kiasi gani chama cha siasa kitapata kutoka kwenye mgao wa fedha za ruzuku. Tunapoelekea kwenye uchaguzi huo, CCM tayari imeshaweka safu yake ya ushindi Ikiongozwa na Magufuli, Mangula na Kinana ambayo watabiri wa mambo ya siasa wanaona kuwa safu hiyo ni kifo cha vyama vya upinzani hususan CHADEMA na CUF ambao kwa sasa wanafurahia ruzuku kutokana na idadi ya wabunge ilionao.
Baada ya 2020, mwelekeo wa kisiasa utakuwa tofauti kabisa. Kama wapinzani watakuwa wamepata viti vingi vya wabunge basi havitazidi 5. Tayari tumeanza kuona dalili za kifo cha upinzani nchini. Katika uchaguzi wa Kata 43, CCM imenyakua Kata 42 na CHADEMA kata 1 tu. Pia kwenye uchaguzi wa Marudio katika majimbo 3 ya Ubunge, tayari CHADEMA na vyama washirika wa UKAWA wanaoungwa mkono na ACT wameweka mpira kwapani.
Niwasihi ndugu zangu mliokusanyika hapo Makao Makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa ambao ajira yenu inategemea na uhai wa CHADEMA, tafuteni kazi nyingine ya kufanya. Baada ya 2020, hawahakikishia vyuma si tu vitabana bali vitasuguana. Hapo ndipo vuguvugu la kumng'oa Hayatollah FREEMAN MBOWE litakapokolea.
Nawasilisha
Hizi ndo akil za tanzania ya viwanda sio kutatua changamoto za mtanzania wewe na mkuu wako mpo ikulu kutafuta wanachama kitu gani hiki toka kwa mtu mweusi?Mpaka sasa zaidi ya robotatu ya wapenzi wao wameshawapoteza
Wadau, amani iwe kwenu.
Uhai wa chama unachangiwa kwa kiwango kikubwa na uwepo wa rasilimali hususan fedha. Bila fedha ni vigumu kuendesha taasisi pana kama chama cha siasa. Chanzo kikubwa cha mapato kwa vyama vyenye wabunge ni ruzuku. Kwa sasa, CHADEMA kinapata zaidi ya milioni 600 kwa mwezi kama ruzuku kutokana na idadi ya wabunge ilionao Bungeni. Fedha hizi ndizo kwa kiwango kikubwa zinatumika kugharamia shughuli za chama Makao Makuu, Kanda na kwenye mashina japo fedha hizo hazijawahi kupelekwa.
2020 tutakuwa na uchaguzi Mkuu ukitanguliwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019. Uchaguzi Mkuu ndio unaotoa mwelekeo wa kiasi gani chama cha siasa kitapata kutoka kwenye mgao wa fedha za ruzuku. Tunapoelekea kwenye uchaguzi huo, CCM tayari imeshaweka safu yake ya ushindi Ikiongozwa na Magufuli, Mangula na Kinana ambayo watabiri wa mambo ya siasa wanaona kuwa safu hiyo ni kifo cha vyama vya upinzani hususan CHADEMA na CUF ambao kwa sasa wanafurahia ruzuku kutokana na idadi ya wabunge ilionao.
Baada ya 2020, mwelekeo wa kisiasa utakuwa tofauti kabisa. Kama wapinzani watakuwa wamepata viti vingi vya wabunge basi havitazidi 5. Tayari tumeanza kuona dalili za kifo cha upinzani nchini. Katika uchaguzi wa Kata 43, CCM imenyakua Kata 42 na CHADEMA kata 1 tu. Pia kwenye uchaguzi wa Marudio katika majimbo 3 ya Ubunge, tayari CHADEMA na vyama washirika wa UKAWA wanaoungwa mkono na ACT wameweka mpira kwapani.
Niwasihi ndugu zangu mliokusanyika hapo Makao Makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa ambao ajira yenu inategemea na uhai wa CHADEMA, tafuteni kazi nyingine ya kufanya. Baada ya 2020, hawahakikishia vyuma si tu vitabana bali vitasuguana. Hapo ndipo vuguvugu la kumng'oa Hayatollah FREEMAN MBOWE litakapokolea.
Nawasilisha
njaa zitawaua chadema...kuanzia madiwan mpaka wabunge wana price tag.....ni aibu...ulitaka wananchi wachague viongoz wenye price tag...ili muwaingize gharama...wameshtukaBondia nafurahia ushindi alioupata kwa kupigana na mwenzie aliefungwa kamba mikono tz bana nchi ya ajabu sana hata watu wake kenyata hakukosea aliposema jamaa flan anaongoza maiti.
Sadifa alikamatiwa nini dodoma?njaa zitawaua chadema...kuanzia madiwan mpaka wabunge wana price tag.....ni aibu...ulitaka wananchi wachague viongoz wenye price tag...ili muwaingize gharama...wameshtuka
Kwa upinzani huu wakupinga kila kituKWANI KIFO CHA UPINZANI NDIO MAENDELEO YA WANANCHI?
JIRANI YAKO AKIFA WEWE NDIO UNAENDELEA??
WAPINZANI NI MAJIRANI ZETU LAZIMA WAWEPO NA TUJENGE NCHI PAMOJA...
USHABIKI MWINGINE NI WA AJABU SANA...
njaa zitawaua chadema...kuanzia madiwan mpaka wabunge wana price tag.....ni aibu...ulitaka wananchi wachague viongoz wenye price tag...ili muwaingize gharama...wameshtuka
wengu hawajua nini maana ya upinzani:Kwa upinzani huu wakupinga kila kitu
bora ufe
na 2020 Tunaenda kuufuta kabisa
Kama watakuja kupalilia mihogo yangu nitawapigia chapuo.Wadau, amani iwe kwenu.
Uhai wa chama unachangiwa kwa kiwango kikubwa na uwepo wa rasilimali hususan fedha. Bila fedha ni vigumu kuendesha taasisi pana kama chama cha siasa. Chanzo kikubwa cha mapato kwa vyama vyenye wabunge ni ruzuku. Kwa sasa, CHADEMA kinapata zaidi ya milioni 600 kwa mwezi kama ruzuku kutokana na idadi ya wabunge ilionao Bungeni. Fedha hizi ndizo kwa kiwango kikubwa zinatumika kugharamia shughuli za chama Makao Makuu, Kanda na kwenye mashina japo fedha hizo hazijawahi kupelekwa.
2020 tutakuwa na uchaguzi Mkuu ukitanguliwa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019. Uchaguzi Mkuu ndio unaotoa mwelekeo wa kiasi gani chama cha siasa kitapata kutoka kwenye mgao wa fedha za ruzuku. Tunapoelekea kwenye uchaguzi huo, CCM tayari imeshaweka safu yake ya ushindi Ikiongozwa na Magufuli, Mangula na Kinana ambayo watabiri wa mambo ya siasa wanaona kuwa safu hiyo ni kifo cha vyama vya upinzani hususan CHADEMA na CUF ambao kwa sasa wanafurahia ruzuku kutokana na idadi ya wabunge ilionao.
Baada ya 2020, mwelekeo wa kisiasa utakuwa tofauti kabisa. Kama wapinzani watakuwa wamepata viti vingi vya wabunge basi havitazidi 5. Tayari tumeanza kuona dalili za kifo cha upinzani nchini. Katika uchaguzi wa Kata 43, CCM imenyakua Kata 42 na CHADEMA kata 1 tu. Pia kwenye uchaguzi wa Marudio katika majimbo 3 ya Ubunge, tayari CHADEMA na vyama washirika wa UKAWA wanaoungwa mkono na ACT wameweka mpira kwapani.
Niwasihi ndugu zangu mliokusanyika hapo Makao Makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa ambao ajira yenu inategemea na uhai wa CHADEMA, tafuteni kazi nyingine ya kufanya. Baada ya 2020, hawahakikishia vyuma si tu vitabana bali vitasuguana. Hapo ndipo vuguvugu la kumng'oa Hayatollah FREEMAN MBOWE litakapokolea.
Nawasilisha