johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,232
- 146,654
Kumekucha
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema Chadema haijapewa Ruzuku na CCM bali imepewa na serikali ikiwa ni halali yao kwa mujibu wa Katiba
Lissu anasema wakati wa maridhiano Kinana aliwaambia tena hiyo ruzuku ni ndogo kwa sababu kura zao nyingi waliwaibia wakati wa Uchaguzi ila walipaswa kupewa zaidi ya hiyo
Nimeikuta clip Huko kwa kamanda Mwaipaya X
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema Chadema haijapewa Ruzuku na CCM bali imepewa na serikali ikiwa ni halali yao kwa mujibu wa Katiba
Lissu anasema wakati wa maridhiano Kinana aliwaambia tena hiyo ruzuku ni ndogo kwa sababu kura zao nyingi waliwaibia wakati wa Uchaguzi ila walipaswa kupewa zaidi ya hiyo
Nimeikuta clip Huko kwa kamanda Mwaipaya X